Kuna nchi zilipigwa Nuclear Bombs na bado zilisimama, msikate tamaa!

Kuna nchi zilipigwa Nuclear Bombs na bado zilisimama, msikate tamaa!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Hata wajaribu kubomoa vipi bado Tanzania itabakia na tutakuwa na muda wa kuijenga upya, mifano ipo mingi Duniani, kuna nchi zilipigwa mabomu na kuna majivu wakajipanga wakaokota tofali kwa tofali na kujenga upya leo hii ni nchi tajiri kila mtu anapenda kwenda kuishi huko.

Hivyo hakuna kukata tamaa, hata waongoze miaka 50 kuanzia leo lkn bado siku yetu inakuja, tena inaweza kuwa karibu kuliko unavyodhania.

Never, EVER, GIVE UP - Donald Trump !
 
Hata wajaribu kubomoa vipi bado Tanzania itabakia na tutakuwa na muda wa kuijenga upya, mifano ipo mingi Duniani, kuna nchi zilipigwa mabomu na kuna majivu wakajipanga wakaokota tofali kwa tofali na kujenga upya leo hii ni nchi tajiri kila mtu anapenda kwenda kuishi huko.

Hivyo hakuna kukata tamaa, hata waongoze miaka 50 kuanzia leo lkn bado siku siku yetu inakuja, tena inaweza kuwa karibu kuliko unavyodhania.

Never, EVER, GIVE UP - Donald Trump !
Kwani Tanzania imekuwa kama rwanda?
 
Hata sisi tulipata msiba wa baba, lakini bado tumeweza kusimama na mama wa kambo...
 
Back
Top Bottom