Huyo alichukuliwa kitengo muda mrefu tu ndio maana humuoni mitandaoni maana amewekwa sehemu ambayo ni nyeti sana.
Usishangae kabisa wapo ambao hutengenezewa vifo fake yaani msiba kabisa na mazishi kumbe mwamba amehamishwa kikazi amepewa jukumu kubwa sehemu kiasi kwamba hatakiwi kuwasiliana na ndugu wala familia yake tena
Yaani anabadirishiwa mpaka identity details huyo harudi tena labda miaka ya badae sana akimaliza salama kilichompeleka
Duh!Na ukimaliza salama unauwawa au unachizishwa simple..
Fake account. Mimi Niko mitandao mingi ila natumia jina fake na siweki picha zangu. Ni memes tu basi. Kila mtu ana maamuzi yake.
Mkuu this is so interesting kama ni kweli!Mbona simpo tu kafanya kama mimi unatumia id fake kama JF mi niliosoma nao degree ufaransa wote tupo mitandaon ila wana kili kama wewe hawajawai niona huko, unajua ukipenda ujulikane sana kwa uhalisia wako sisi wengine ni binadamu wa hovyo.
Kuna muda unataman umchane jamaa na kumnanga matus pale anapozingua, ila ukikumbuka ananijua unaishiwa poz ndio mana tunatumia short cut hatuweki utambulisho halisi ili tupete kwa uhuru.
Hata zile vidio tutumiane kwa uhuru pasipo kujuana kuna siku jf kuna mdada aliniboa tulichambana sana, na vile sina dogo nikampa madongo, and the mwisho nakuja kucheki simu ya wife kumbe mwenye ile id ni yeye nikaamua kum blok kimya kimya na hajanijua mpaka leo.
Duh!wengine wanabadili ID yeye anakufuatilia ila wewe humtambui,nilishawahi mfanyia dogo huo uhuni mpaka anakuja kujua ni mimi hakuamini.
Ushahidi wako mbona kama haujakamilika
Mimi mwenyewe sina picha mtandaoni, accounts zangu zote za mtandao zina majina fake. Nina account facebook lakini ninayo kwa ajili ya shughuli ya kufanya paid ads nayo ina jina fake, instagram nina account ina jina fake, same to X. Mitandao mingine sipo.Wakuu,
Hili jambo linawezekana kuonekana kawaida, lakini limenishangaza kidogo.
Leo nilikua napitia habari huko mitandaoni, nikapata wasaa wa kuongalia taarifa za baadhi ya jamaa tulio kuwa pamoja kipindi cha nyuma.
Kitu kilicho nishangaza ni kuona kuna account moja ya mtu tulikua tunasoma wote darasa moja ipo empty (haina kitu, picha, post, like, page alizo follow au comment etc) ni sawa na account iliyo telekezwa.
Nikaona isiwe tabu, nikajaribu kumtafuta mitandao mingi, huko nako hayupo, hamna picha wala taarifa inayo muhusu.
Japo tulisoma darasa moja, nika mtafuta jamaa aliekuwa best yake kipindi hicho, nika jaribu ku mdodosa huyu ndungu yetu yupo wapi?
Akaniambia kipindi tulichomaliza, jamaa aliendelea kujuendeleza lakini baada ya mda aliondoka kwenda kusoma nje (Jina Kapuni). Baada ya hapo akaniambia hana tena taarifa zake.
Hapa ndio nemeshangaa inawezekanaja mtu uka potea jumla jumla, uka delete kila kitu kwenye account yako?
Nimejiuliza amebadilisha identity au nini kimetokea, au amepata dili za TISS au idara za usalama?
Hii weekend nitajaribu ku go-deep kumtafuta mtu asiye taka kupatikana.
mkuu nisaidie hiki kitabu km kipo online.
Kweli tupu mkuuMkuu this is so interesting kama ni kweli!
Kama ni chai basi imekaa sukariii sana
mkuu nisaidie hiki kitabu km kipo online.
mkuu nisaidie hiki kitabu km kipo online.
NakaziaFake account. Mimi Niko mitandao mingi ila natumia jina fake na siweki picha zangu. Ni memes tu basi. Kila mtu ana maamuzi yake.
Wanateseka sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana ma jobless jobless.Wakuu,
Hili jambo linawezekana kuonekana kawaida, lakini limenishangaza kidogo.
Leo nilikua napitia habari huko mitandaoni, nikapata wasaa wa kuongalia taarifa za baadhi ya jamaa tulio kuwa pamoja kipindi cha nyuma.
Kitu kilicho nishangaza ni kuona kuna account moja ya mtu tulikua tunasoma wote darasa moja ipo empty (haina kitu, picha, post, like, page alizo follow au comment etc) ni sawa na account iliyo telekezwa.
Nikaona isiwe tabu, nikajaribu kumtafuta mitandao mingi, huko nako hayupo, hamna picha wala taarifa inayo muhusu.
Japo tulisoma darasa moja, nika mtafuta jamaa aliekuwa best yake kipindi hicho, nika jaribu ku mdodosa huyu ndungu yetu yupo wapi?
Akaniambia kipindi tulichomaliza, jamaa aliendelea kujuendeleza lakini baada ya mda aliondoka kwenda kusoma nje (Jina Kapuni). Baada ya hapo akaniambia hana tena taarifa zake.
Hapa ndio nemeshangaa inawezekanaja mtu uka potea jumla jumla, uka delete kila kitu kwenye account yako?
Nimejiuliza amebadilisha identity au nini kimetokea, au amepata dili za TISS au idara za usalama?
Hii weekend nitajaribu ku go-deep kumtafuta mtu asiye taka kupatikana.
ChaiMbona simpo tu kafanya kama mimi unatumia id fake kama JF mi niliosoma nao degree ufaransa wote tupo mitandaon ila wana kili kama wewe hawajawai niona huko, unajua ukipenda ujulikane sana kwa uhalisia wako sisi wengine ni binadamu wa hovyo.
Kuna muda unataman umchane jamaa na kumnanga matus pale anapozingua, ila ukikumbuka ananijua unaishiwa poz ndio mana tunatumia short cut hatuweki utambulisho halisi ili tupete kwa uhuru.
Hata zile vidio tutumiane kwa uhuru pasipo kujuana kuna siku jf kuna mdada aliniboa tulichambana sana, na vile sina dogo nikampa madongo, and the mwisho nakuja kucheki simu ya wife kumbe mwenye ile id ni yeye nikaamua kum blok kimya kimya na hajanijua mpaka leo.