Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kwakuwa malaria haijapona.Jahazi linazama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakuwa malaria haijapona.Jahazi linazama
Weeeee!!Tunataka tumpige mbowe viboko hadharani kwa ufisadi aliofanya ndani ya chama chetu
chadema hakuna hata mmoja mwenye akili viongozi na wafuasi wao yaani walivyokuwa wanamshangilia mbowe awavushe leo haohao wamegeuka kumuta mbowe fisadi? kunamtu anaakili hapo kweli?Tunataka tumpige mbowe viboko hadharani kwa ufisadi aliofanya ndani ya chama chetu
Ndio Mimi na wenzangu hapa nilipo tunajiuliza Dunia nzima unaoongelea ni ipi ikiwa tu hapa Tanzania Tena dar mji mkubwa watu hatujaona hayo matangazo? Au ndio unatutangazia kijanja?Unayo macho?
Punguza kujieleza chawa mmoja wewechadema hakuna hata mmoja mwenye akili viongozi na wafuasi wao yaani walivyokuwa wanamshangilia mbowe awavushe leo haohao wamegeuka kumuta mbowe fisadi? kunamtu anaakili hapo kweli?
HahahhahaHayo matangazo ndio naona kwako hapa hayo unayosema yameenea Dunia unazungumzia Dunia gani?
Dar si mnatazama harusi ya Mobeto, mtaonaje mambo mengine? nyie endeleeni kushabikia ujingaNdio Mimi na wenzangu hapa nilipo tunajiuliza Dunia nzima unaoongelea ni ipi ikiwa tu hapa Tanzania Tena dar mji mkubwa watu hatujaona hayo matangazo? Au ndio unatutangazia kijanja?
Mobeto ndio nani?Dar si mnatazama harusi ya Mobeto, mtaonaje mambo mengine? nyie endeleeni kushabikia ujinga
Kazi imeanza RasmiMkuu Erythrocyte huu mwaka kuna watu wataingia kitandani huku wamesahau kuvua viatu.