libeva
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 4,465
- 3,615
Halafu huko Njombe wanawanyonya wakulima wananunua 25,000/- guniaTanzania tunashukuru Mungu kwa kuingia uchumi wa kati mpaka sasa gunia la viazi wanauza kuanzia 98.000 hadi 110.000
Tatizo ni uzalishaji mdogo kila mtu kawa machinga au tatizo ni madalali kujipangia bei zao wenyewe?