Kuna nini kati ya Deschamps na Laporte!?

Kuna nini kati ya Deschamps na Laporte!?

Sio jambo geni katika soka.

Dunia ya soka iliwahi kumshuhudia Eric Cantona akiwa wa moto kabisa pale Man Utd lakini timu ya taifa ya Ufaransa alikuwa haitwi.

Gianfranco Zola akiwa mungu mtu pale Chelsea kiasi cha kwamba jezi yake namba 25 kustaafishwa isitumike tena Chelsea, timu ya taifa ya Italy (Azzuri) alikuwa anaisikia kwenye bomba.
Nakumbuka Zola alikuwepo kwenye kikosi cha Azzuri World cup 94,akapigwa red card katika mechi yao na Nigeria,nadhani kuanzia hapo hakuweza tena kupata nafasi katika National team.
 
Nakumbuka Zola alikuwepo kwenye kikosi cha Azzuri World cup 94,akapigwa red card katika mechi yao na Nigeria,nadhani kuanzia hapo hakuweza tena kupata nafasi katika National team.
World Cup ya 1998 iliyofanyika pale Ufaransa pia hakuitwa. Akakasirika akaamua kustaafu.

Kwa kifupi hakutendewa haki kabisa, alichezea timu ya taifa mechi 35 tu.

Ni kama beki wa zamani wa Man Utd Steve Bruce, licha ya uhodari klabuni kwake na pua kuwa nahodha wa Man Utd huku akitwaa mataji kadhaa ya EPL lakini kwwnye timu ya taifa ya England alicheza mara moja tu.

Kwahyo kuna muda makocha wa timu za taifa huwa na maamuzi ambayo yanaumiza wengine.
 
Sio jambo geni katika soka.

Dunia ya soka iliwahi kumshuhudia Eric Cantona akiwa wa moto kabisa pale Man Utd lakini timu ya taifa ya Ufaransa alikuwa haitwi.

Gianfranco Zola akiwa mungu mtu pale Chelsea kiasi cha kwamba jezi yake namba 25 kustaafishwa isitumike tena Chelsea, timu ya taifa ya Italy (Azzuri) alikuwa anaisikia kwenye bomba.
Mzee mwenzangu ongeza na ginola katika mifano yako.
 
Msimu huu Laporte ni beki pekee kutoka timu tofauti na Liverpool ambaye ametengeneza safu ya mabeki katika kikosi bora cha msimu cha EPL..!

Kama unaifuatilia ligi ya Uingereza na umewahi kuangalia mechi za Man City ni lazima utakubali kuwa Laporte ni bonge la beki..!

Lakini kitu cha ajabu Didier Deschamps amekuwa akimuacha jamaa kila anapotaja kikosi cha timu ya taifa..!

This time nilitegemea ni lazima atamuita,lakini amemuacha tena..!

Hivi ni Kweli wakina Zouma na Sakho ni bora kuliko Laporte..!?

Au mafanikio ya kombe la dunia ndio yanampa kiburi huyu kocha..!?

Jinga sana Didier Deschamps..!!!
Mbona sababu iko wazi hauwezi kuwa na mabeki namba 4 wote wanatumia miguu ya kushoto Varane anatumia mguu wa kushoto,laporte pia. Akichukuliwa laporte varane anapaswa kuachwa
 
Tusimlaumu sana. Timu kama France, German au hata Brazil wanakuwa na wachezaji wengi wanaocheza nafasi moja. Kocha kazi yake ni kuangalia yupi anafaa kwenye plan zake.
 
Nakumbuka Zola alikuwepo kwenye kikosi cha Azzuri World cup 94,akapigwa red card katika mechi yao na Nigeria,nadhani kuanzia hapo hakuweza tena kupata nafasi katika National team.
Euro 96 alicheza, yeye italia,bergkamp uholanzi,stoichkov bulgaria,klinsman ujerumani, waliinogesha sana mashindano yale
 
Varane daima hutumia mguu wa kulia
Mbona sababu iko wazi hauwezi kuwa na mabeki namba 4 wote wanatumia miguu ya kushoto Varane anatumia mguu wa kushoto,laporte pia. Akichukuliwa laporte varane anapaswa kuachwa
 
Atasingizia technics ila kwangu ndio yale ya kumuacha Lacazette na kumbeba Giroud bahat nzuri kwake France walibeba ndoo!! Kiukweli hata iweje Giroud hawez kuwa zaid ya Lacazette.. Ndio haya ya Laporte
Wewe Olivier ana umuhimu wake bana ..mchizi ana nyota ya makombe ..uwepo wake kwenye timu yeyote ile lazima ishinde kombe ..uyo Lacca hawajai hata kikombe cha maji aende national timu kufanya nini?
 
Mbona sababu iko wazi hauwezi kuwa na mabeki namba 4 wote wanatumia miguu ya kushoto Varane anatumia mguu wa kushoto,laporte pia. Akichukuliwa laporte varane anapaswa kuachwa
Duh..!
Kwahiyo Varane hawezi kupata injury akiwa uwanjani..?
 
World Cup ya 1998 iliyofanyika pale Ufaransa pia hakuitwa. Akakasirika akaamua kustaafu.

Kwa kifupi hakutendewa haki kabisa, alichezea timu ya taifa mechi 35 tu.

Ni kama beki wa zamani wa Man Utd Steve Bruce, licha ya uhodari klabuni kwake na pua kuwa nahodha wa Man Utd huku akitwaa mataji kadhaa ya EPL lakini kwwnye timu ya taifa ya England alicheza mara moja tu.

Kwahyo kuna muda makocha wa timu za taifa huwa na maamuzi ambayo yanaumiza wengine.
Mkuu tatizo zamani waitaliano walikuwa wanaamini ligi yao na utamaduni ni bora na unahitaji kulindwa,kwa hiyo ilikuwa ukihama Italia sahau kuchezea Azzuri maishani
 
Back
Top Bottom