Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu Reformer, karibu tembelea nyuzi hizi ili ujielimishe mambo ya Zanzibar!.Wadau ni mda mrefu sasa kumekua na habari mtaani.Kwamba Cuf au Maalim Self wakipewa Nchi ya Zanzibar .Wale waarabu na Ukoo wa Sultan watarudi kuitawala tena Zanzibar.Na hii ndio sababu CCM hawako tayari kuwapa nchi hata kama wanashinda uchaguzi.Na kwa nini Maalim Self hataki kutoka hadharani kufafanua juu ya hii ishu kwani ipo na ina semwa sana toka kitambo.CCM Zanzibar wamesha sema kua nchi iliyo patikana kwa mapinduzi hawawezi kuikabidhi kwa Makaratasi.Viongozi wa Cuf Zanzibar pamoja Na Maalim Self tunaomba ufafanuzi juu ya hili..
Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muungano
Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?
Imethibitishwa pasi na shaka Maalim Seif Alishinda Zanzibar
Jee Kuna Uwezekano Siku Zote Huwa Hazitoshi, Bali Zinatosheshwa
Pasco