Kuna nini katika tarehe 17 February?

Mimi najiuliza kwanini wagombea urais 2015 karibu wote wamefariki?
1. Anna Mughway
2.Maalm Seif
3. Magufuli
4. Lowasa
 
Kwa wanasiasa wa mrengo wa Kichadema, watasema, ni Mungu wao๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‡๐Ÿ˜Œ

Hakuna anayeepuka ajali. Accidents happen to everyone, even popes!

Muumba atuepushe na ajali. Amen
 
Magufuli hakufariki tare 17
 
No correlation at all(Hayo matukio yote uliyoyaandika hayana mahusiano kabisa!) Kila moja lipo kivyake.
 
Wingi wa baraka zinakuja. Huu ndio wakati mwafaka wa kuwa wazi juu ya malengo yako ya mwisho na kuwa na imani kwamba ni suala la muda tu kabla ya yote unayotamani kudhihirika mbele ya macho yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ