Kuna nini kijacho mbona EWURA wamechimba biti mapema?!

Bei lazima ishuke, watake wasitake. Tena inashuka sehemu kubwa sana
 
Kama cashflow imeyumba nashindwa kuagiza what then ?, Watanipa Mkopo ?
 
Kama cashflow imeyumba nashindwa kuagiza what then ?, Watanipa Mkopo ?
Cash flow ikishuka maana yake mzigo utakuwa nao wa kuendelea kuuza. Au huelewi ulichomaanisha??
Hapo utakuwa umeuza kidogo na kingi kimebakia hivyo huwezi kosa mzigo.
 
Cash flow ikishuka maana yake mzigo utakuwa nao wa kuendelea kuuza. Au huelewi ulichomaanisha??
Hapo utakuwa umeuza kidogo na kingi kimebakia hivyo huwezi kosa mzigo.
Mkuu cashflow ikishuka mzigo taagiza vipi ? huenda mzigo nimetoa kwa credit kwa wadau na bado sijalipwa..., kwahio siwezi kufanya manunuzi immediate sababu sina cash yote ipo help up somewhere
 
Wauze sasa hivi ili yaishe na wasiagize tena mpaka bei ishuke.
 
Bei inaenda kushuka kwa hiyo wafanya biashara hawataki kuchukua mzigo sasa wa bei ya sasa waka kuuza kwa bei ya chini. Wanasahau kuwa wakati bei inapanda hawakusema tunapata faida haramu.
Ila sina uhakika kama wanaweza kuwafungia, labda watawaonea wachache
 
Lumato umeapishwa Jana Leo unapiga biti. Pokea kwanza ofisi ufahamiane na wenzio n.k
 
hii ndio sababu ya msingi, wafanya biashara ya mafuta wana mambo ya ajabu sana, bei ilivyopanda na wao walipandisha usiku huo huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…