Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 168
- 466
Hivi kuna nini kinaendelea kwenye mambo ya ajira za sensa
Mana mpaka leo kimyaaa
Sio lazima mimi nipate ila hata majina yakitoka na nikajua nimekosa wamepata wengine nalo ni jambo jema
Sasa huu ukimya wao ndo unatutisha
Mana mpaka leo kimyaaa
Sio lazima mimi nipate ila hata majina yakitoka na nikajua nimekosa wamepata wengine nalo ni jambo jema
Sasa huu ukimya wao ndo unatutisha