balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Naona Hamna huruma ngoja niwaacheMbona mmebadilisha jina langu? Mimi naitwa Rais Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Hamna huruma ngoja niwaacheMbona mmebadilisha jina langu? Mimi naitwa Rais Magufuli.
Mkuu hatari sana, hiyo ni two weeks ago watu walikua semina😂😂Hivi kuna nini kinaendelea kwenye mambo ya ajira za sensa
Mana mpaka leo kimyaaa
Sio lazima mimi nipate ila hata majina yakitoka na nikajua nimekosa wamepata wengine nalo ni jambo jema
Sasa huu ukimya wao ndo unatutisha
Yametoka sasa!Hivi kuna nini kinaendelea kwenye mambo ya ajira za sensa
Mana mpaka leo kimyaaa
Sio lazima mimi nipate ila hata majina yakitoka na nikajua nimekosa wamepata wengine nalo ni jambo jema
Sasa huu ukimya wao ndo unatutisha
Kwa kweli tuendelee na Mambo mengine. Nimetoka kwenye kata yangu bado kweupee.Mkiharibu Kazi mtapatikana wapi? Infact vijana wengi (sio wote) hawana commitment na Kazi. Hii ni sensitive work so inahitajija watu ambao wako vzr. Nyie endeleeni kukesha YouTube mkimuangalia Diamond na Alikiba wametoa nyimbo Gani mpya. Hiz Kaz zina wenyewe nyie subirini kuhesabiwa tu
Bado sijapata ya mkoa wanguYametoka sasa!
vipi umo au tuanze kulia na shida nyingine?