Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 168
- 466
[emoji3][emoji3][emoji3]Yaani unawapangia wenye mamlaka zao. Uhuru umezidi
Tupe majina yako kamiliHivi kuna nini kinaendelea kwenye mambo ya ajira za sensa
Mana mpaka leo kimyaaa
Sio lazima mimi nipate ila hata majina yakitoka na nikajua nimekosa wamepata wengine nalo ni jambo jema
Sasa huu ukimya wao ndo unatutisha
Lengai Ole SabayaTupe majina yako kamili
Sensei Taiji KaseTupe majina yako kamili
😂Tupe majina yako kamili
Mkuu sensa si August 23Wapo nje ya muda adi sasa
Maanake hapo majina ni mwezi wa sita mwishoni au wa sabaMkuu sensa si August 23
Naweza nikaamini kaka nishayaona Sana hata sishangaiwakubwa washaweka watu wao huko kaka we kama unasubiri nakushauri achana nayo tu fanya mambo mengine
Mkuu majina bado na watayatoa hayo mambo imeisha juu kwa juu ni uongoNaweza nikaamini kaka nishayaona Sana hata sishangai
Hata kama connection zipo na ndio zipo hawawezi wakawa wajinga kiasi hichoNaweza nikaamini kaka nishayaona Sana hata sishangai
Jina lako mbona halipo kwenye system ya walioomba sensa mkuu toa jina sahihi shauri yako tusije kulaumiana baadae mkuuSensei Taiji Kase
Jina lako liko valid limefungiwa mkuu nikiingiza kwenye system majibu ni oopsLengai Ole Sabaya
Rais Magufuli[emoji23]
Mbona mmebadilisha jina langu? Mimi naitwa Rais Magufuli.Rais Magufuli