GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa Calculators kuadimika au kivipi Mkuu?Watakuua wewe😆😀😄
Calculations za kichwa kwenda robo zinakataa labda calculators nyingiKuna Mtu nimemtuma kuja Dar es Salaam kunifungia Mzigo wa Calculators ili nizilete hapa Kampala Uganda niziuze kwani zina Soko naambiwa kwa Wiki hii nzima hazipatikani Madukani kote kwa Kununuliwa kwa Fujo (kwa Wingi) na Mashabiki wa Yanga FC.
Kwani kuna nini Kinaendelea huko Bongo
Yeah and in full swing.Charismatic Fella is Back.
We jamaa umerudi karibu,fanya utuchambulie mechi zetu za mnyama zilizobaki hasa ya leo kiufundi maana naamini wewe mchambuzi mzuri.Yeah and in full swing.
Thubutu....!!Wewe wadanganye tu. Ipo wapi hiyo nafasi?Uto....pambaneni nafasi bado ipo.
Kuna Mtu nimemtuma kuja Dar es Salaam kunifungia Mzigo wa Calculators ili nizilete hapa Kampala Uganda niziuze kwani zina Soko naambiwa kwa Wiki hii nzima hazipatikani Madukani kote kwa Kununuliwa kwa Fujo (kwa Wingi) na Mashabiki wa Yanga FC.
Kwani kuna nini Kinaendelea huko Bongo?
Calculator sahivi zinalazimishiwa hesabu za kubaki na moja kichwani Mara ichore jedwali baada ya ibenge kupokea zawadi litakaaje kundi ni mvurugano ambao hata Einstein asingeweza kukokotoaKuna Mtu nimemtuma kuja Dar es Salaam kunifungia Mzigo wa Calculators ili nizilete hapa Kampala Uganda niziuze kwani zina Soko naambiwa kwa Wiki hii nzima hazipatikani Madukani kote kwa Kununuliwa kwa Fujo (kwa Wingi) na Mashabiki wa Yanga FC.
Kwani kuna nini Kinaendelea huko Bongo?