Kuna nini kinaendelea sasa Tanzania kiasi kwamba 'Calculators' zinanunuliwa kwa Wingi mno na Mashabiki wa Yanga FC?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Mtu nimemtuma kuja Dar es Salaam kunifungia Mzigo wa Calculators ili nizilete hapa Kampala Uganda niziuze kwani zina Soko naambiwa kwa Wiki hii nzima hazipatikani Madukani kote kwa Kununuliwa kwa Fujo (kwa Wingi) na Mashabiki wa Yanga FC.

Kwani kuna nini Kinaendelea huko Bongo?
 
Calculations za kichwa kwenda robo zinakataa labda calculators nyingi
 

Calculator sahivi zinalazimishiwa hesabu za kubaki na moja kichwani Mara ichore jedwali baada ya ibenge kupokea zawadi litakaaje kundi ni mvurugano ambao hata Einstein asingeweza kukokotoa
 
Calculators zinaandika "Syntax Error" hazitaki kabisa, naskia wanataka kukodisha super computers kutoka NASA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…