Kuna nini kwa majirani?

Walimwaga mboga, tukamwaga ugali.
Wakamwaga maji ya kunawa, ndipo tukapindua meza kabisa...[emoji12][emoji12]
Mmh WaTZ kwa maneno bwana...dah..yanaweza kuua mtu...tehtehteh
 



MY TAKE
Kila neighbor anachukia Nyang'au! Now central corridor should up their game n step in maana huko Northern corridor kuna nyang'au kapakatwa na kuliwa kiboga huko! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy
nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo
, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Futa hii comment haraka kabla ya Tony254 kuisoma maana kesho tu atafunga safari kuelekea Uganda huku hakijidai nae dereva ili wamuweke karantini ya kishoga

Send by APOLO 1
 
Walishaingia makubaliano ya kutokutangazana...

Ukigungdua unakausha...


Cc: mahondaw
 
Walicho kubaliana ni kutotaja jina la nchi specifically but watumie madereva wa kigeni...so hiyo haimanishi kwamba number isisomwe . Swali ni kwanini hawaendelei kusema hiyo idadi?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwakuwa lengo la kutaja nchi liliishafamika na akili kubwa,automatic kutaja madereva wa mataifa inakosa kick,itajifia kifo cha asili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…