Kuna Nini maeneo ya Mbezi Beach? Nasikia Sauti kama Mabomu ama Baruti

Kuna Nini maeneo ya Mbezi Beach? Nasikia Sauti kama Mabomu ama Baruti

Mpaka muda huu milio inasikika sidhani kama ni kawaida, yasije kutokea ya Gongolamboto.

Nahisi maeneo ya LUGALO.

Mlioko maeneo ya LUGALO, Mbezi ama KUNDUCHI, mtutoe wasiwasi.
 
S
Mpaka muda huu milio inasikika sidhani kama ni kawaida, yasije kutokea ya Gongolamboto.

Nahisi maeneo ya LUGALO.

Mlioko maeneo ya LUGALO, Mbezi ama KUNDUCHI, mtutoe wasiwasi.
Siyo Lugalo labda Kunduchi au pale uwanja wa shabaha
 
Kwa jinsi tunavyoshangilia na kuichambua vita ya Irani na Israeli kama Simba na Yanga nilijua milipuko midogo midogo kama hiyo ingekuwa sio ishu
1000015160.jpg
 
Back
Top Bottom