Kuna nini; Mbona Darasa yupo kimya sana?

Tatizo la unga Bashite alilimaliza tangu mwaka jana.
Labda wa dona mkuu maana wakati ule nakumbuka baadhi ya maeneo ya nchi yalikumbwa na ukame hadi kusafirisha mazao nje ya nchi ikawekwa marufuku.
 
GENTAMYCINE KWANI HATA FAMILIA PIA SI SYSTEM!

Unataka labda niongee ' Kinyarwanda ' labda ndipo unielewe au? Nimekuambia sipo huko ' System ' na nakuomba acha kabisa, narudia tena acha kabisa na namalizia acha kabisa kunihusisha nayo kwa namna yoyote ile. Mimi nipo Kwetu huku Gisenyi nchini Rwanda ambako ndiyo naishi siku zote sasa nitakuwaje tena Mtu wa ' System ' ya huko Kwenu Tanzania? Nakuomba tujadili mengineyo kama ya Akwilina Akwiline au huyo ' aliyetoweka ' leo au mambo yetu ya Simba na Yanga au mambo ya Mimbunye na Mikuyenge ila mambo ya ' System ' ni big ' NO ' sawa? Nimemaliza.
 
Hapa TZ ukiwa msanii usiombe clouds wakuletee shobo mwisho wa SKU ndo hiv wadau wanaakulzia uko wap,
Dogo Aslay asipoangalia yatamkuta ya bwana CLASSROOM
 
Ni kweli anabwia unga huyu jamaa? nauliza
 
Huyu jamaa rafiki yake alikua HASCANA labda tuanzie hapo wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…