Kuna nini miongoni mwa haya?

Kuna nini miongoni mwa haya?

Mungu ni mawazo mafu yaliyoganda kwenye fahamu zetu ili tusijikwamue katika kuondoa matatizo yanayotuzunguka.

Mawazo hayo yalijengewa mazingira ya kidumu na wajanja wa mwanzo kwa kuwatumia wajinga wa mwanzo ili kuwageuza wajinga wenzao kuwa *WAPUMBAVU*
 
1. Chanzo ni imani zao

2 & 3. Hakuna hizo zote ni hadithi tu kama hadithi zingine za kale
4. Sasa Yesu akiwajua hao mababu zako weusi ndio nini?? Kwa taarifa yako hata Yesu pia alikuwa mweusi
5. Hakuna
6. Aliishi miaka 33. Ndio
7. Ndio
8-10 hayana maana yoyote
Mwisho kabisa ukae ukijua hayo maswala yote uliyojijaza kichwani hayana maana, toka nje na ujifunze zaidi
Historia za watu waliokwisha kufa hazita kusaidia kitu
 
K
1. Chanzo ni imani zao

2 & 3. Hakuna hizo zote ni hadithi tu kama hadithi zingine za kale
4. Sasa Yesu akiwajua hao mababu zako weusi ndio nini?? Kwa taarifa yako hata Yesu pia alikuwa mweusi
5. Hakuna
6. Aliishi miaka 33. Ndio
7. Ndio
8-10 hayana maana yoyote
Mwisho kabisa ukae ukijua hayo maswala yote uliyojijaza kichwani hayana maana, toka nje na ujifunze zaidi
Historia za watu waliokwisha kufa hazita kusaidia kitu
kwanini swali namba 8-10 yasiwe na maana
 
uwezo wa Biblia kwenye kuzuia uchawi na kutoa mapepo upo kwenye damu Ya YESU.
 
Nasubiri ufafanuzi wa hao mababu meusi
 
Nasubiri ufafanuzi wa hao mababu meusi
 
Mungu ni mawazo mafu yaliyoganda kwenye fahamu zetu ili tusijikwamue katika kuondoa matatizo yanayotuzunguka.

Mawazo hayo yalijengewa mazingira ya kidumu na wajanja wa mwanzo kwa kuwatumia wajinga wa mwanzo ili kuwageuza wajinga wenzao kuwa *WAPUMBAVU*
Kipimo cha ujinga ni kipi na watu wanaoendelea kuamini mungu hadi sasa ni ujinga gani waliyonao tofauti na hao wajinga wa mwanzo?
 
Back
Top Bottom