Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini swali namba 8-10 yasiwe na maana1. Chanzo ni imani zao
2 & 3. Hakuna hizo zote ni hadithi tu kama hadithi zingine za kale
4. Sasa Yesu akiwajua hao mababu zako weusi ndio nini?? Kwa taarifa yako hata Yesu pia alikuwa mweusi
5. Hakuna
6. Aliishi miaka 33. Ndio
7. Ndio
8-10 hayana maana yoyote
Mwisho kabisa ukae ukijua hayo maswala yote uliyojijaza kichwani hayana maana, toka nje na ujifunze zaidi
Historia za watu waliokwisha kufa hazita kusaidia kitu
Kimsingi yote uliyouliza sijaona lenye maana ila yanazidiana ambapo hayo yamezidiK
kwanini swali namba 8-10 yasiwe na maana
Hai mangimashudu tupu yalioandikwa hapa
Kipimo cha ujinga ni kipi na watu wanaoendelea kuamini mungu hadi sasa ni ujinga gani waliyonao tofauti na hao wajinga wa mwanzo?Mungu ni mawazo mafu yaliyoganda kwenye fahamu zetu ili tusijikwamue katika kuondoa matatizo yanayotuzunguka.
Mawazo hayo yalijengewa mazingira ya kidumu na wajanja wa mwanzo kwa kuwatumia wajinga wa mwanzo ili kuwageuza wajinga wenzao kuwa *WAPUMBAVU*