Kuna nini nyuma ya pazia? Mikufu wanayovaa members wa WCB yote inafanana

Kuna nini nyuma ya pazia? Mikufu wanayovaa members wa WCB yote inafanana

Kutoka sites mbalimabli google huo msalaba unaitwa Ankh cross.Chimbuko lake Ni wamisri.Huo msalaba una Maana ya uhai,muunganiko kati ya mwanamke na mwanaume na maisha baada ya kufa.

Kanisa la misri liitwalo the coptic church o Egypt wali adapt huo msalaba wanauita crux ansata yani msalaba wenye mshikio.Hii Ni kwasababu Unamaana ya uzima na ahadi ya maisha baada ya kifo au uzima wa milele kama Kristo alivyoahidi.

Katika kizazi chetu cha saivi wakristo pia hutumia hii misalaba kwani mengine ina Maana au historia zisizoeleweka na zinazojichanganya mfano msalaba ulionyooka unamaana ya kifo n.k

Kwa wanaosema ni Freemason pia wanapoint since knight templars wanatumia ankh sema yao Ina kimsalaba chekundu ndani ya huo mduara.
Knight templars kwa ufupi Ni order kwenye Freemasons ambapo unajiunga Kama unaamini ukristo.
Knight templars pia wanahistoria yao hawa jamaa wakarne ya kumi huko na kuendelea walitumika na kanisa kupigana vita vya wakristo(crusades) walikuwa wakikusanya hela Ulaya lengo nikulinda Jerusalem n.k
Kwa ufupi walikuwa matajiri Sana hadi wakadhaniwa wanasiri za uchawi walizozipata katika vita vyao maeneo mengi duniani.Mfalme Phillip alikuja kuwamaliza akitaka kujua ukweli ambapo mpaka sasa haujulikani.
Unajua tena Freemasons kiini kikubwa Ni kufa huku hujasema ukweli.
Anyway ndo ivo,knight templars wana symbols kibao ila wanatumia ankh pia kwasababu ya uzima blah blahblah

Kuhusu kuabudu shetani misjui.Some sources zinasema ankh ilisymbolise reincarnation ya mungu Ra wa Misri ambapo Ni Lucifer.Asa sjui Kama its a true or false allegation.
We jamaa inatakiwa use verified hapa jf maana umejibu bile unajua na ulivyo soma nakukubali mkuuu... Sio wengine wanajibu kama walevi
 
View attachment 644386
8820a81c4c5caa1a31ee8040c760f510.jpg
7c4c5bee6b3902e1b7a54ac6a36a2efd.jpg
c339a935f41dfeb082c09e6bd7882c2b.jpg
109974689146af2f8cf7483807a9ba45.jpg
58f0096c1bc0bc17faa6d14805d3d80a.jpg
f930af1e285f3a8ea3971beaf1a16b57.jpg
Nimekukubali mkuu
 
wanatafuta kiki.
wanajua mtasema watakua on Top everyday
Jifunzeni kuona behind
nini Faida nini hasara...
nini hasa nia sahihi
 
Salam kwenu... Nimejaribu kuwafuatilia hawa wasafi naona wote wanavaa mkufu wenye kaalama kama ma msalaba sijui no agizo toka kwa top management. Ama kunakitu wanaabudu ama ni sare kwao... Na nimeona waislam wakiponda hiyo mikufu kwamba ni ishara ya kushabikia ushetani ama ukristo
df7c058f6917027f618529f31d6a8ede.jpg

Vanny boy
3a3f302c35888d1f72cd58f74294e91d.jpg

Boss simba
74c58b7779ab8c55a543937ddd80c5a9.jpg
lava lava na konde boy
b2af58b8927857ae6bf931897d667db4.jpg

Mavoko

8c982ca43c7ff4310cb2b39d5ff35f0a.jpg

WCB WOTE KWA PAMOJA
Fatilia label nyingi za muziki mleta uzi utagundua kwamba label huwa zinawapa cheni zinazofanana wasanii wao ili iwe identity ya label wabayotoka mfano mzuri ni MMG Rick Ross, G UNIT, QUALITY CONTROL, YOUNG MONEY ETC, Hivyo basi ni jambo la kawaida sio la kuhusisha na imani potofu.
 
Na mimi ngoja nikuulize, 'Kwa nini nguo wanazovaa wanajeshi zote zinafanana? Kuna nini nyuma ya pazia'?
Kwahyo hap ni wanajeshi mkuuu... Angalia lebel nyingi za music duniani hawana huu upumbavu wa kuvaa dare kama watoto wa shule... Jeshi ni kitu kingine na mkufu ni kitu kingine mkuu
 
Fatilia label nyingi za muziki mleta uzi utagundua kwamba label huwa zinawapa cheni zinazofanana wasanii wao ili iwe identity ya label wabayotoka mfano mzuri ni MMG Rick Ross, G UNIT, QUALITY CONTROL, YOUNG MONEY ETC, Hivyo basi ni jambo la kawaida sio la kuhusisha na imani potofu.
Bila pic mkuu hutoweza eleweka... Weka pic chief.... Lakini hizo lebel zingine chain zako zinakua na lebel ya group na sip msalaba na hatujui huo msalaba wenye kamviringo juu no mini ama ni lebel ya WCB?
 
Bila pic mkuu hutoweza eleweka... Weka pic chief.... Lakini hizo lebel zingine chain zako zinakua na lebel ya group na sip msalaba na hatujui huo msalaba wenye kamviringo juu no mini ama ni lebel ya WCB?
Ni kweli mkuu label nyingi cheni zao huwa ni label zenye logo ya group kwa upande wa WCB sijui labda wao wameamua kutumia logo ya design hiyo ila tamati yangu ni kwamba wasanii wanaotoka label moja kuvaa cheni zinazofanana sio jambo la ajabu.
 
Ni kweli mkuu label nyingi cheni zao huwa ni label zenye logo ya group kwa upande wa WCB sijui labda wao wameamua kutumia logo ya design hiyo ila tamati yangu ni kwamba wasanii wanaotoka label moja kuvaa cheni zinazofanana sio jambo la ajabu.
Na lengo tuone maana ya hiyo chain... Nadhan ukipitia vizuri hapo juu kuna jamaa kaeleza vizuri
 
Huenda ni ishara ya bahati ndio maana wanafanikiwa ghafla. Jaribu na wewe lakini ukubaliane na vitu fulani
 
We una amini vipi kwamba zile ni sign za freemason je ushawai kuwa mshiriki ata kutambua izo alama ...tupunguze chuki.
 
We una amini vipi kwamba zile ni sign za freemason je ushawai kuwa mshiriki ata kutambua izo alama ...tupunguze chuki.
Washiriki tunao humu ndip maana nikauliza kama hujui kaa kimya watu wanajua mambo
 
Back
Top Bottom