Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,662
Wakuu,
Najua hapa kuna watu waliobobea mambo ya sheria, hasa zile zinazohusiana na makosa ya jinai. Kuna wahalifu nimewashtaki mahakama ya mwanzo, sasa naona kila nikienda kesi inapigwa tu tarehe. Rushwa sitoi ng'o, hakimu asitegemee, tena hata ukaribu naye sitaki.
Sasa natafuta vigezo vya kuidisqualify mahakama hii ya mwanzo na mahakimu wake uchwara ili niende ya wilaya, huko kidogo nahisi mahakimu wana akili.
Kwanza naomba kujuzwa kuwa kuna namna ngapi za kufanya kesi mahakamani? Hapa naamanisha kuna njia zingine za kufanya kesi kama vile kwa simu, video conferencing (mfano kupitia skype, Gtalk, n.k), kwa kuwasilisha waraka wa maandishi au njia ipo moja tu kama tulivyoizoea ya mlalamikaji/walalamikaji na mtuhumiwa/watuhumiwa wote kuwepo mahakamani physically?
Pia naweza kutumia vigezo gani, kuhama kutoka mahakama ya mwanzo kwenda ya wilaya?
Najua hapa kuna watu waliobobea mambo ya sheria, hasa zile zinazohusiana na makosa ya jinai. Kuna wahalifu nimewashtaki mahakama ya mwanzo, sasa naona kila nikienda kesi inapigwa tu tarehe. Rushwa sitoi ng'o, hakimu asitegemee, tena hata ukaribu naye sitaki.
Sasa natafuta vigezo vya kuidisqualify mahakama hii ya mwanzo na mahakimu wake uchwara ili niende ya wilaya, huko kidogo nahisi mahakimu wana akili.
Kwanza naomba kujuzwa kuwa kuna namna ngapi za kufanya kesi mahakamani? Hapa naamanisha kuna njia zingine za kufanya kesi kama vile kwa simu, video conferencing (mfano kupitia skype, Gtalk, n.k), kwa kuwasilisha waraka wa maandishi au njia ipo moja tu kama tulivyoizoea ya mlalamikaji/walalamikaji na mtuhumiwa/watuhumiwa wote kuwepo mahakamani physically?
Pia naweza kutumia vigezo gani, kuhama kutoka mahakama ya mwanzo kwenda ya wilaya?