Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

Ni ofisi ya umma au private
 
Kiingereza n lugha kama kimasai tu
 
Hata nyani ngabu akitema yai sijawahi muona huyu mwamba hata aki~comment....
Huyu jamaa alifarijika Sana baada ya kuwapata wa kufanana naye/ baada ya kuwapata watu ambao hawawezi kuongea kiingereza kama alivyo yeye.

Labda alidhani kuwa yeye pekee ndiye hajui kiingereza ndo maana alifurahi Sana alipogundua kuwa na wengine wamo.
 
Kinachokushangaza ni kipi? Ww na kingereza chako umeweza kuanzisha hata genge?
 
Na ukikuta yalivyovimbiana mashavu na vitambi sasa ,maboss uchwara kulipana posho za bure , empty heads kabisa .
Kuna umuhimu wa kuanzisha department ya Government efficiency TANZANIA (Tanzanian Government efficiency department) TGED kama Elimu Musk anavyofanya kule Marekani
Kuna majitu mengi humo kwenye institutions za serikali ni liabilities Tu .
Haya majitu huwa yana insecurity za ajabu sana , serikali inakuwaje na mfanyakazi haelewi kiingereza ? , Anafanya nini humo ofisini ? , Hawa ndio tunawategemea wa represent Government institutions hawa ?
No wonder hata mikataba ya nchi hii huwa ni bomu tu ,mafala hawajui kiingereza wanasign nini au kuchambua na kunegotiate nini ?
 
Kama wanafanya biashara na wanaingiza faida, wala hakuna tatizo. Wengi tu wanajua vingereza ila haviwasaidii chochote zaid ya kuangalizia movie tu na ku apply kazi
 
Acha utumwa wa kifikra, ulivyo mshamba unashangaa mtanzania kutokujua kiingereza ila hushangai wageni wako kutokujua kiswahili!
Acha kutetea upumbavu na ujinga , wewe hujui kiingereza dunia ya leo unataka kufanya nini ofisini ?
Hivi huwa mnatumia akili ninyi viazi ?
Ndio maana hata kesi za kimataifa hii nchi huwa inafail always ,na mikataba tunaishia kusaini mikataba ya kipumbavu ,sababu ni kwamba hawa wanasheria wa serikali na wakuu wa hizo taasisi za maamuzi hawana uelewa na lugha ,hili ni tatizo kubwa
 
Umekutana na baba kanituma leo!😄😄
 
Wewe ni mpumbavu.
Tembea China uone kama kuna mtu atakusemesha kiingereza hata kama anakijua.
Kiingereza ni knowledge?
 

"Shukrani kwa Nyerere alicheza utadhani pele kuendeleza kiswahili mikoani na mbele mbele tunamfagilia mzungu wakati tuna shida tele kiingereza bila hela ni sawa na kupiga kelele" - LANGA
 
Usipoteze muda kushangaa vitu vidogo,hao wamarekani hawajui Kiswahili,kizaramo,kiluguru n.k mbona hakuna anaewashangaa! Na lugha sio kipimo cha usomi au kuelimika,ni daraja la mawasiliano tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…