Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

Kingereza ni mojawapo ya lugha za taifa la Tanzania, wewe ndiye hujui.
Nenda kaongee soko la Magomeni mkuu upate huduma.

Angalia uhalisia kwanza kabla ya unachokiona kwenye makaratasi.
 
Hilo sio suala la msingi, hakuna tatizo kama mtu ambaye Kingereza hakikuwa lugha yake ya kufundishia kutojua Kingereza, ni tatizo kutofahamu Kingereza kama kilikuwa kinatumika kama lugha yako ya kufundishia tena kwa miaka 4, 6 au zaidi na pia kama Kingereza kinatumika katika shughuli rasmi za serikali kama mahakamani.

Ukienda ofisi yoyote ukikuta watu hawajui kiingereza basi ujue hiyo haikuwa part of qualification for the job.
Vilevile utajifunza lugha lakini bila kuitumia kila siku lazima ikugonge hata hamtaki kuamini hilo. Sina university degree lakini ni fluent kwa kiingereza kwasababu nakitumia kila siku. Hii haimaanishi mimi ni educated kuliko hawa watu waliokaa vyuoni miaka yote.
Hawajui kiingereza lakini naamini wana elimu kuliko mimi na un8kipa kazi yao mimi hata sijui ntaanzia wapi.
 
Kuna namna fulani mleta uzi ana hoja ila kashindwa tu kuiwasilisha. Hebu fikiria hiyo ofisi pengine ina mhasibu au HR au hata wafanyakazi wa taaluma fulani fulani kama mtaalamu wa mambo ya maendeleo ya jamii kama ni NGO, kuna waalimu kama ni shule, kuna mkandarasi kama ni kampuni ya ujenzi.

Sasa swali ni hawa watu waliwezaje kufanikiwa kimasomo ikiwa kiingereza wasichokifahamu vyema ndio lugha yetu ya kufundishia?

Kwa mtanzania yoyote mwenye elimu ya kuanzia diploma tunategemea afahamu vyema lugha ya kiingereza sababu ndio lugha aliyofunzwa nayo shuleni.

Ni kweli kiingereza sio kipimo cha akili ila kwa mfumo wetu wa elimu ni moja ya vipimo muhimu.
Mkuu kwa Kiingereza cha darasani kutoboa ni ngumu. Ndio maaana kwenye level za lugha kuna beginner, intermediate, professional, fluent/ native kwa sababu Kiingereza cha kujifunzia fani yako ni tofauti na cha mawasiliano ya kila siku.

Imagine na instructors wetu pia Kiingereza kwao ni shida, anakupa materials kwenye vitabu yakiwa kwa kimombo lakini atakuelezea kwa Kiswahili nawe utajibu kwa Kiswahili.

So Kiingereza chetu sio kile kinachotuwezesha kwenye mawasiliano, ukitaka kufahamuu hicho ni juhudi binafsi na si vinginevyo.
 
Mwanaume huna kaba wewe


Yaani mtu kakuvuta chemba kakueleza changamoto yake badala umfichie siri/aibu zake wewe ndiyo kwanza hata hujafika kwako tayari umezimwaga hadharani

Kusema kweli Kiingereza ni kwikwi kwa Tanzania, jau sana kuongea msione tunaandika humu mkadhani ndiyo na kuongea tupo vivyo hivyo
 
Kwa nini hao wamarekani hawajui kiswahili?
Hii nchi ina vituko sana.

Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.

Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,

Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
 
Nilichokuja kubaini kwenye swala la lugha tusijilinganishe na mataifa kama China, Russia hawa watu wanatumia lugha zao mashuleni, Sisi watanzania tunatumia kiingereza sekondari na chuo so miaka yote hyo haiwezekan usiongee hyo lugha
shuleni tunafundishwa kujibu maswali kwa kutumia kingereza ila tunafundishwa kwa kiswahili mwalimu anaandika notes kwa english ila atazitafsiri kwa kiswahili labda uwe hujasoma kayumba
 
Hii nchi ina vituko sana.

Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.

Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,

Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Sioni kama kuna ulazima wa mimi kuongea kingereza nikiwa nchini kwangu
Wewe ukija kwangu hata nakijua kingereza chako utaongea na mimi kwa kiswahili tafuta namna yoyote utakayoweza.
Nikija nchini kwako na wewe fanya hivo.
 
Hao wamarekani wenyewe wanakanyaga tu humo humo, we unafikiri wanakijua?
 
Uongo, hizo nchi zote raia akisoma Kingereza lazima akijue vizuri sana.
Macron anaongea Kingereza kizuri.
Macron ni specific tunaangalia majority.Sasa nikuambie kuna nchi kama Italy,Ureno,Ufaransa,Ujerumani,Udachi wanakidharau sana kingereza na hii inatokana na historia katika vita walivyopigana zamani.
Mara nyingi mtu akiwa kiongozi anajitahidi kujua kingereza sababu hawa jamaa wametawala sehemu kubwa ya dunia.
Sasa pia shangaa Kagame anaongea kingereza kizuri mno,anajua kiswahili vizuri mno na kifaransa pia anakijua.Ujuzi wa lugha pia ni kipaji kuna sehemu kwenye ubongo ina master language kwa watoto wadogo inafanya kazi vizuri sana.
 
Screenshot_20250314_090748.jpg
 
Macron ni specific tunaangalia majority.Sasa nikuambie kuna nchi kama Italy,Ureno,Ufaransa,Ujerumani,Udachi wanakidharau sana kingereza na hii inatokana na historia katika vita walivyopigana zamani.
Mara nyingi mtu akiwa kiongozi anajitahidi kujua kingereza sababu hawa jamaa wametawala sehemu kubwa ya dunia.
Sasa pia shangaa Kagame anaongea kingereza kizuri mno,anajua kiswahili vizuri mno na kifaransa pia anakijua.Ujuzi wa lugha pia ni kipaji kuna sehemu kwenye ubongo ina master language kwa watoto wadogo inafanya kazi vizuri sana.
Sina tatizo kama tutaamua kukidharau Kingereza na kutumia Kiswahili kufundishia sekondari na vyuo, hapo watu wasipojua Kingereza au kukitumia itakuwa sawa. Tatizo ni kwamba Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia kwa miaka zaidi ya minne halafu bado watu hawajui Kingereza cha kujielezea hata kwa dakika tano tu.
 
Hii nchi ina vituko sana.

Kuna wageni kutoka marekani wametembelea Tanzania kujifunza mambo flani flani,boss wangu akaniteua mimi na wenzangu wawili tuwaongoze kwenye shughuli zao zilizowaleta.

Cha ajabu kuna office tumeenda leo,office nzima hakuna anayeweza kuongea kiingereza kizuri,hadi mkurugenzi wa office ni zero kwenye kiingereza, eti mkurugenzi akanivuta pembeni akaniambia hayuko vizuri kiafya hivyo anaomba anikabidhi kwa meneja wake ili atusaidie shida yetu,

Meneja nae akazuga eti yuko busy lkn baadae akanivuta pembeni akaniambia huwa anapata shida kuelewa accent ya kimarekani hivyo anaomba niwe namtafsria wanachoongea hawa wageni.
Nimeshangaa sana aisee.
Ungekwenda nao china ukawatafsirie wao hawana shida na kingereza chako wanapiga maendeleo tu...
 
Mtoa mada sijakuona kwenye ule Uzi wa kiingereza, hii ndo kusema kuwa wewe mwenyewe uko unga kwenye hiyo lugha lakini ndo hivyo nyani haoni uwekundu wa mkundu wake lakini ni mkali wa kusema mikundu ya nyani wengine.

Tafadhali 🙏 badili mtazamo.
Hata nyani ngabu akitema yai sijawahi muona huyu mwamba hata aki~comment....
 
Sina tatizo kama tutaamua kukidharau Kingereza na kutumia Kiswahili kufundishia sekondari na vyuo, hapo watu wasipojua Kingereza au kukitumia itakuwa sawa. Tatizo ni kwamba Kingereza kinatumika kama lugha ya kufundishia kwa miaka zaidi ya minne halafu bado watu hawajui Kingereza cha kujielezea hata kwa dakika tano tu.
hapo umenena sasa wewe unasema kingereza miaka minne? hata waliofika chuo kikuu kama mimi hatujui kingereza.Mkuu wetu wa nchi tu Jiwe kilimpa tabu sana vile alisoma sayansi
Kiufupi watanzania hatujui kingereza sababu kubwa ni kwamba tunakianzia kujifunza katika level ya secondary.Kenya wao ni kuanzia nursery.Hii ilifanywa makusudi na mwl Nyerere ajili ya kutuunganisha watanzania na kwa hili alifanikiwa kwa kweli
Ila ni ukweli usiopingika kingereza ni lugha ya dunia,kiswahili lugha ya taifa ndio zinakuja lugha za makabila sasa.
Ni miaka michache tu sasa haizidi 30 ndio tukafungua english medium schools kuziba hilo pengo na makosa tuliyofanya ila inachanganya wanafunzi kwa kweli.
Kiswahili chenyewe ni kigumu asikuambie mtu
 
Back
Top Bottom