Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 538
- 246
Unakuta picha ziko vizuri kabisa kiasi kwamba mtu hadi unajiuliza mbona kama muonekano na Bei haviendani. Unakuta chombo inauzwa 800,000, arafu muuzaji anasema chombo Ina documents zote. Na unakuta ni ofisi kabisa ya kuuza pikipiki used. Binafs mashaka yangu ni Bei zao.
Kwa wajuzi naomba kujua, hivi hizi pikipiki za Bei hizi ambazo ni used
650,000, 700,000, 800,000 , n.k je ziko poa kweli????
Kwa wajuzi naomba kujua, hivi hizi pikipiki za Bei hizi ambazo ni used
650,000, 700,000, 800,000 , n.k je ziko poa kweli????