Dafu bei gani?Utatapeliwa we mwehu.
Bahati nasibu mwendo wa kubetChukua fundi wako unayemuamini nenda naye. Uje utusaidie kutupa majibu na sisi
MilioniDafu bei gani?
Ukienda kununua niambie nikupe fundi wangu uende nae akakague chombo,,,utanishukuruNaomba kujuzwa wakuu,
Fundi utamlipa wewe?Ukienda kununua niambie nikupe fundi wangu uende nae akakague chombo,,,utanishukuru
1000 tu mkuu. Huyu mwehu hata mi naweza mtapeli jwa madafu yangu.Dafu bei gani?
Zitakuwa ni Pikipiki za WasabatoNaomba kujuzwa wakuu,
Unaweka nini na nini?1000 tu mkuu. Huyu mwehu hata mi naweza mtapeli jwa madafu yangu.
Fundi utamlipa wewe?
DuuuhMilioni
πππUtatapeliwa we mwehu.
Unaomba vithibitishoOgopa kununua vitu used hapa bongo.
Kuna mali zingine za wizi.
kuna yule alichomwa moto hapo juzi jumapili saa4asubuhi, segerea akiwa amepaki kijiweni na wenzake kusubiria abiria, maskini ya Mungu sijui alinunua kiasi gani au alikua deiwaka tu, halafu ilikua imefungwa gprs kabisa na nadhani hakujua alifurahia bei chee πNaomba kujuzwa wakuu,