kuna penzi hapa au nilisha achika kitambo!?!

kimbiaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

anarud alfajiri?
ehh bado upo tu?

ana nin cha ziada?

inafaa kwa mashndano ya olmpk?
 
Mimi natafuta mdada mwaminifu kwani niliyenaye si mwaminifu. Tuwasiliane ili nasi tuwe pamoja.
 
winy, mshukuru Mungu kwa kukufungua macho. All I can say is "run like the devil is after your life" Its not the end of the world.....
 
Last edited by a moderator:
kosa lingine,y ulikuwa unaishi nae?
My take:km huna wa kukulipia ada jifanye mjinga upate hiyo ada,bt tafuta mwanaume mwingine huko chuoni kimya2....ila km uwezo wa ada unao tembea mbele

ukute jamaa nae kesha-shituka. hii movie ametuwekea sehemu ya mwishoni kama alivyoeleza mwenyewe. Hatujui tatizo lilianzaje, haya ni maelezo ya upande wake tu, ya upande wa pili hatuyajui.
 
Mapenzi yananivunja mgongo
Mwenzio naumia ...pole sana my dear naona walipita wameshatoa ushauri mzuri kabisa
 
Unamaana gani billie mimi sina uwezo wowote ni mwanachuo tu mbaya zaid yeye ndio anaenilipia ada
sasa hebu tuweke wazi unashindwa kumuacha kwa sababu anakulipia ada? au kwa sababu unampenda?
maana hapa tutapoteza muda wetu kukwambia mpige chini kumbe mwenzetu unawaza ada utatoa wapi. kwanza mdada you should be expensive utaendaje kulala kwa BF as if umeolewa? hayo ndio matokeo yake, huyo ameshakuona you are cheap, mbaya zaidi unamtegemea, so anakudrive anavyotaka. Achana nae na badili mwenendo wa kimapenzi usijitoe mzimamzima namna hiyo kwa mwanaume. Sory kwa kukupa makavu, I know it pains but ndio ukweli wenyewe.
 
Unamaana gani billie mimi sina uwezo wowote ni mwanachuo tu mbaya zaid yeye ndio anaenilipia ada
pole sana sasa na wewe kaa nae kijasiliamali,mwambie i love you nyingiiii,mpe space ya kutosha, usimfatilie fatilie sana,yaani uimuulize kabisa kuhusu huyo mwanamke wake mwingine na vile mchezo hautaki hiyo ndo salama yako wala usimkumbushie kabisa, lengo lako hapa iwe kupata pesa zake ili umalize chuo,ukiona umelipa ada ya mwisho kata mawasiliano kabisa
 
Mnaohisi mm nimekuwa mwepec kukata tamaa si kwel nimevumilia hali hii kwa miez kadhaa na huyu mtu nadhani aliniacha muda mrefu mim tu niling'ang'ana maana tumeachana asubuhi jion kasha amishia mwanamke kwake nivumilie lipi lingine jaman,,,lakn inaniumiza sana sana nashndwa kufanya lolote najitahidi kuona nikitu chakawaida lakin inaniumiza sana
 
[Dalili zote zinaonyesha mwenzio kapata kitu kipya. Lakini kupata kitu kipya si lazima kuachwa. Kwa kuwa hoja yako imejikita kwenye kuachwa bado hujaachwa ila inavyoonyesha yupo kwenye mchakato wa kukupiga chini au awe nanyi wote wote kimtindo. Lakini ujue baadaye utapigwa chini maana hadi kuamua kutafuta kitu kipya ujue mapenzi yake kwako yameshuka. Ukiona manyoya ujue kaliwa! Kazi kwakoQUOTE=winy;4473931]Salam kwenu nduguzangu, naombeni kufunguliwa macho maana nahisi mapenzi yamenifumba macho,mimi ninampenZi wangu tuko na miaka miwili sasa lakini kama miezi miwili ilopita mwenzangu kabadilika sana na sikuzinavo enda nazidi kupokea vituko, mwez flan alikua hataki kufanya mapenz akisema mazoez yanamchosha sana,lakn badae akabadlika zaid akawa anarudi sa8,9,hadi sa 10 usiku/alfajiri na hanigusi akidai anamawazo sana yanamuondolea uwezo wa kumudu tendo..majuz nimdeshika simu yake nikakuta msg za mwanamke akisema baby najihisi nina mimba,na msg za ex wake wakionekana walikuwa wanaunganishiana mana ex anadai ila roho inaniuma bado nakuhitaji,,,last night tukayaongelea lakin tukayamaliza kiolela mana mwenzangu hakutaka kuongea na anakua mkali,leo kani drop home akanambia leo sitokuja kukufata uwahi kuja mwenyewe nikakubari lakin sa 11 jion kanipgia kanambia nijenikuchukue saangap nikamjibu ata saiz nikotayari akasema kunakazi anaenda kufanya nimsubir atanifata sa2 usiku.mimi roho ikagoma kabsa nikaona nichukue tax niende kwake now niko kwake hayupo nasijamwambia kama niko kwake nimempigia kanambia kama unaweza nenda home mimi ninaratba ndefu,,saiv nampgia hapokei nimejaribu kumpgia ule mwanamke aliesema anamimba hapokei,,jaman naombeni kuambiwa ninalangu hapa??na nifanye vip kama sina langu najaribu kumuacha bnashindwa najikuta najileta mwenyewe[/QUOTE]
 
Pole sana my dear, hapo kwakweli huna mtu na kama ni kweli huyo mwingine atakuwa na mimba ndio kabisa. Cha kufanya endelea na maisha yako usiwaze sana ukaaribu na masomo/kazi. Mungu atakusidia utapata mwingine atakayekupenda unavyostahili.
 
Huna lako hapo, achana naye huyo anakupotezea muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…