prophet_tz
Senior Member
- Feb 14, 2022
- 176
- 302
- Thread starter
-
- #41
Unaonekana upo vzri ....bibieInaitwa nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anewei; mvinyo huwa ghali kulingana na unakunywa wapi
Bongo mil 15 [emoji849][emoji849][emoji849]
Ila nahisi Champagne ndio huwa ghali sana Esp; Dom pigeon Rose
PoisonousHiyo pombe au sumu, sijaelewa hiyo package 🤔
Nimegugu kumbe ni Crystal Head VodkaJe kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha ajabu?
Kuna mda nawaza labda nikinywa hii ntalewa milele [emoji23][emoji23][emoji23] Au mtasema kwasababu sina pesa ndomana nasema hivi.... lakini hata kama una pesa nyingi kiasigani ndo ununue hiyo pombe kwa 15m?
Eb walevi na wanywaji nipeni uzoefu wenu maana isije ikawa hii ni kamba [emoji848] au na nyie hizi bei ni zakawaida san
Nimegugu kumbe ni Crystal Head VodkaJe kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha ajabu?
Kuna mda nawaza labda nikinywa hii ntalewa milele [emoji23][emoji23][emoji23] Au mtasema kwasababu sina pesa ndomana nasema hivi.... lakini hata kama una pesa nyingi kiasigani ndo ununue hiyo pombe kwa 15m?
Eb walevi na wanywaji nipeni uzoefu wenu maana isije ikawa hii ni kamba [emoji848] au na nyie hizi bei ni zakawaida san
Si kweli, the most expensive hotel in Tz ni Serengeti Bilila Lodge ( Four seasons ambapo ni $12000 per night tena ni presidential suite (Mil.24 by 2016 nilipolala) Nyagi ni laki 7 soda elf 80! Sio serena buffet ni 60..au Hyatt wali 30 acheni fikra za kimasikini
Kwahiyo ulinunua nyagi kwa 700k? Daso kwa 70k seriously [emoji848][emoji848] ...... only kulala ni 24m?
Ambayo haina thamani ya bei ya pombe.. tukisema tutaonekana dharau [emoji1787][emoji1787]Tatizo sio Bei tatizo huo picha ilipopigiwa NI grocery za mtaani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Umeambiwa serena sio duniani......Here’s a quick recap of the 20 most expensive alcoholic drinks in the world (Google,2022):
- Billionaire Vodka – $3.7 Million
- Tequila Ley .925 – $3.5 Million
- Henri IV Dudognon Heritage Cognac Grande Champagne – $2 Million
- Russo-Baltique Vodka – $1.35 Million
- Diva Vodka – $1 Million
- Mendis Coconut Brandy VS – $1 Million
- Macallan 64 Year Old In Lalique – $625,000
- 1945 Romanee-Conti Wine – $558,000
- Armand de Brignac Midas – $265,000
- Dalmore 62 – $215,000
- The Sapphire Revelation By Bombay – $200,000
- Penfold Ampoule – $170,000
- The Black Pearl Louis XIII Anniversary Edition By Remy Martin – $165,000
- Diamond Jubilee By Johnnie Walker – $165,000
- Chateau D’Yquem – $130,000
- The Ruby Rose Cocktail – $40,000
- Legacy By Angostura – $25,000
- The Diamond Is Forever Martini – $18,000
- The Winston Cocktail – $12,790 per glass
- Salvatore’s Legacy – $8,316
Huko ulaya inauzwa paundi 270 ni km laki 8 na kitu kwa lita 3. So uki import bongo ina maana inafika milioni na kitu....Je kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha ajabu?
Kuna mda nawaza labda nikinywa hii ntalewa milele [emoji23][emoji23][emoji23] Au mtasema kwasababu sina pesa ndomana nasema hivi.... lakini hata kama una pesa nyingi kiasigani ndo ununue hiyo pombe kwa 15m?
Eb walevi na wanywaji nipeni uzoefu wenu maana isije ikawa hii ni kamba [emoji848] au na nyie hizi bei ni zakawaida sana
View attachment 2175910
Serena ni noma, jamaa yangu aliagiza mishikaki minne, chips na dafu, bili ikaja milioni nane, ikabidi aache prado lake la kichaga akatafute hela maana alikuwa na laki mbili tu mfukoni.
CC Mtambuzi
Si kweli, the most expensive hotel in Tz ni Serengeti Bilila Lodge ( Four seasons ambapo ni $12000 per night tena ni presidential suite (Mil.24 by 2016 nilipolala) Nyagi ni laki 7 soda elf 80! Sio serena buffet ni 60..au Hyatt wali 30 acheni fikra za kimasikini
unalewa milele? pombe haramuJe kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha ajabu?
Kuna mda nawaza labda nikinywa hii ntalewa milele [emoji23][emoji23][emoji23] Au mtasema kwasababu sina pesa ndomana nasema hivi.... lakini hata kama una pesa nyingi kiasigani ndo ununue hiyo pombe kwa 15m?
Eb walevi na wanywaji nipeni uzoefu wenu maana isije ikawa hii ni kamba [emoji848] au na nyie hizi bei ni zakawaida sana
View attachment 2175910