Kuna pombe Serena Hotel inauzwa Millioni 15

Kuna pombe Serena Hotel inauzwa Millioni 15

Inaitwa nini???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anewei; mvinyo huwa ghali kulingana na unakunywa wapi
Bongo mil 15 [emoji849][emoji849][emoji849]
Ila nahisi Champagne ndio huwa ghali sana Esp; Dom pigeon Rose
Unaonekana upo vzri ....bibie
 
Hiyo ni kinywaji ya frimasoni , ukiinunua tu unaanza kupata hela nyingi🐒
 
Je kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha ajabu?

Kuna mda nawaza labda nikinywa hii ntalewa milele [emoji23][emoji23][emoji23] Au mtasema kwasababu sina pesa ndomana nasema hivi.... lakini hata kama una pesa nyingi kiasigani ndo ununue hiyo pombe kwa 15m?

Eb walevi na wanywaji nipeni uzoefu wenu maana isije ikawa hii ni kamba [emoji848] au na nyie hizi bei ni zakawaida san
Nimegugu kumbe ni Crystal Head Vodka
 
Je kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha ajabu?

Kuna mda nawaza labda nikinywa hii ntalewa milele [emoji23][emoji23][emoji23] Au mtasema kwasababu sina pesa ndomana nasema hivi.... lakini hata kama una pesa nyingi kiasigani ndo ununue hiyo pombe kwa 15m?

Eb walevi na wanywaji nipeni uzoefu wenu maana isije ikawa hii ni kamba [emoji848] au na nyie hizi bei ni zakawaida san
Nimegugu kumbe ni Crystal Head Vodka
 
Si kweli, the most expensive hotel in Tz ni Serengeti Bilila Lodge ( Four seasons ambapo ni $12000 per night tena ni presidential suite (Mil.24 by 2016 nilipolala) Nyagi ni laki 7 soda elf 80! Sio serena buffet ni 60..au Hyatt wali 30 acheni fikra za kimasikini

IMG_20211219_000407_018.jpg
 
Labda inasafisha na nyota,unakuwa tena sio wa vibaa vya uswahilini...
 
Here’s a quick recap of the 20 most expensive alcoholic drinks in the world (Google,2022):
  1. Billionaire Vodka – $3.7 Million
  2. Tequila Ley .925 – $3.5 Million
  3. Henri IV Dudognon Heritage Cognac Grande Champagne – $2 Million
  4. Russo-Baltique Vodka – $1.35 Million
  5. Diva Vodka – $1 Million
  6. Mendis Coconut Brandy VS – $1 Million
  7. Macallan 64 Year Old In Lalique – $625,000
  8. 1945 Romanee-Conti Wine – $558,000
  9. Armand de Brignac Midas – $265,000
  10. Dalmore 62 – $215,000
  11. The Sapphire Revelation By Bombay – $200,000
  12. Penfold Ampoule – $170,000
  13. The Black Pearl Louis XIII Anniversary Edition By Remy Martin – $165,000
  14. Diamond Jubilee By Johnnie Walker – $165,000
  15. Chateau D’Yquem – $130,000
  16. The Ruby Rose Cocktail – $40,000
  17. Legacy By Angostura – $25,000
  18. The Diamond Is Forever Martini – $18,000
  19. The Winston Cocktail – $12,790 per glass
  20. Salvatore’s Legacy – $8,316
Umeambiwa serena sio duniani......
 
Je kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha ajabu?

Kuna mda nawaza labda nikinywa hii ntalewa milele [emoji23][emoji23][emoji23] Au mtasema kwasababu sina pesa ndomana nasema hivi.... lakini hata kama una pesa nyingi kiasigani ndo ununue hiyo pombe kwa 15m?

Eb walevi na wanywaji nipeni uzoefu wenu maana isije ikawa hii ni kamba [emoji848] au na nyie hizi bei ni zakawaida sana

View attachment 2175910
Huko ulaya inauzwa paundi 270 ni km laki 8 na kitu kwa lita 3. So uki import bongo ina maana inafika milioni na kitu....

Screenshot_20220405-153632_Google.jpg
 
Samahani soda ipi hyo 80,000?
Si kweli, the most expensive hotel in Tz ni Serengeti Bilila Lodge ( Four seasons ambapo ni $12000 per night tena ni presidential suite (Mil.24 by 2016 nilipolala) Nyagi ni laki 7 soda elf 80! Sio serena buffet ni 60..au Hyatt wali 30 acheni fikra za kimasikini
 
Habari zinahusu serena ila picha zinahusu tunateseka Pub.
 
Je kuna ukweli wowote juu ya hili pale Serena kuna kinywaji cha bei ghali lakini kwenye hili naona mshkaji kanifunga kamba, eti Serena kinywaji hiki kinauzwa 15m ... kwani kina nini haswa cha ajabu?

Kuna mda nawaza labda nikinywa hii ntalewa milele [emoji23][emoji23][emoji23] Au mtasema kwasababu sina pesa ndomana nasema hivi.... lakini hata kama una pesa nyingi kiasigani ndo ununue hiyo pombe kwa 15m?

Eb walevi na wanywaji nipeni uzoefu wenu maana isije ikawa hii ni kamba [emoji848] au na nyie hizi bei ni zakawaida sana

View attachment 2175910
unalewa milele? pombe haramu
 
Back
Top Bottom