Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huhuhhuuh hiyo ni Wanzuki. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Siamini. Ngoja nimuulize Mbowe ndio mtaalamu wa haya mavituItakuwa faru Ndugai
Amini nakuambia hata Jokate wa kisarawe anajua.Siamini. Ngoja nimuulize Mbowe ndio mtaalamu wa haya mavitu
Banana inatengenezwa Arusha mkuu, inang'oa watu meno mbaya kabisaBanana wine za Moshi hizo
Ndo zenyewe mkuu mkikaa siku mara mnaskia tuuufu mnajua huko tayari kitu kimeshajibu jamaa anaenda kutoa tu chupaHizo ni banana nina duka langu huku mbezi naziuzaga moja 900 wenye kampuni wanasema hawana chupa zakutosha??sasa wao wanatumia za windo au henken au zakwao wao?? Hizo zikikaa kwenye joto zina lipukaa zonyewee ila faru ndio kibokoo kulipuka aiseee nasikia banana zinatoka Arusha!!! Banana zimezagaa sana mbezi palee ndio kinywaji pendwa
Kama una contact na hao jamaa wa Banana nisaidie nina chupa Za henkeni kama elfu 50 natafuta sokoHizo ni banana nina duka langu huku mbezi naziuzaga moja 900 wenye kampuni wanasema hawana chupa zakutosha??sasa wao wanatumia za windo au henken au zakwao wao?? Hizo zikikaa kwenye joto zina lipukaa zonyewee ila faru ndio kibokoo kulipuka aiseee nasikia banana zinatoka Arusha!!! Banana zimezagaa sana mbezi palee ndio kinywaji pendwa