mourisous
JF-Expert Member
- Jan 19, 2016
- 443
- 269
Habari wakuu...??
Kama kichwa kinavyosomeka ningependa kupata msaada wa kujuzwa kuhusu Mambo yafuatayo:-
1. Je Kuna kozi za postgraduate degree na Kama jibu ni yes zipi sifa za kujiunga nazo na minimum muda wa masomo ni miaka mingapi?
2. Upi utofauti wa hiyo postgraduate degree na postgraduate Diploma??
3. Zipi sifa za kujiunga na postgraduate kwa watu wenye Bachelor Degree ya Ac na Bachelor Degree ya HRM?
4. Sifa za kujiunga na postgraduate Diploma ni zipi?
Asante I naomba kuwasiliana kwa michango ya majibu ywnu wakuu.
Karibuni
Kama kichwa kinavyosomeka ningependa kupata msaada wa kujuzwa kuhusu Mambo yafuatayo:-
1. Je Kuna kozi za postgraduate degree na Kama jibu ni yes zipi sifa za kujiunga nazo na minimum muda wa masomo ni miaka mingapi?
2. Upi utofauti wa hiyo postgraduate degree na postgraduate Diploma??
3. Zipi sifa za kujiunga na postgraduate kwa watu wenye Bachelor Degree ya Ac na Bachelor Degree ya HRM?
4. Sifa za kujiunga na postgraduate Diploma ni zipi?
Asante I naomba kuwasiliana kwa michango ya majibu ywnu wakuu.
Karibuni