Kuna pre-entry test UDSM?

Nisaidie waliochaguliwa mwaka huu udsm mi natumia simu kaka
 
Tafadhali tuwekeeni majina ya waliochaguliwa udsm,huku vijijini tulipo tunatumia simu na wala sio compyuta hivyo bila msaada wenu hatuwezi kuijua hatima yetu
 
kwani kuna ubaya mtu kuchaguliwa dar??af mbona wao wanatudis waliomba??na walipokosa ndo wanasema maneno hayoo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…