Kuna rafiki yangu mke wake amejifungua mtoto wa kiume na maumbile yake yameshatahiriwa tayari

Kuna rafiki yangu mke wake amejifungua mtoto wa kiume na maumbile yake yameshatahiriwa tayari

dumesuruali

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
287
Reaction score
621
Habari wakuu
naomba kuuliza,kuna rafiki yangu mke wake amejifungua mtoto wa kiume na maumbile yake yameshatahiriwa tayari hii kitaalamu imekaaje??
 
Hakuna hicho kitu, mbona kuna watu wanazaliwa na magovinda mafupi wengi sana. Ila baadae hutahiriwa.
 
habari wakuu..
naomba kuuliza,kuna rafiki yangu mke wake amejifungua mtoto wa kiume na maumbile yake yameshatahiriwa tayari...
hii kitaalamu imekaaje??
Nilishawahi kutana na case kama hii kijijini kwetu, na siyo moja
 
Me utotoni nilikuwa na kigovi kifupi sana kiboro kilipokuwa kikisimama govi hupotea kabisa. Ila nilikujapelekwa muhimbili kikakatwa na kushonwa. Watoto wenzangu walijua nilishakatwa uchangani. Wasiokatwa walikuwa wakivibinjua vyao vinang'aa au vyekundu wanajulikana faster time za kuoneshana au kuchunguliana
 
Back
Top Bottom