mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Hivi kwema humu jukwaani?
Kufuatia uzi aliouandika member mwenzetu LIKUD hapa majuzi, kuonesha namna ambavyo anapenda kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana wadogo wa miaka 18-25, mimi nami nina mtazamo sawa.
Kwanza kabisa, kisheria, mtu anayefanya mapenzi na mwanamke chini ya miaka 18 ndiye aliyebaka.
Mimi nina miaka 35+, ila udhaifu wangu na choice yangu kubwa sana ni hivi vimwana vya miaka 18-24 mwisho, ikizidi sana basi 26. Juu ya hapo nawaona kama 'mashangazi', siko interested nao.
Kuna raha sana kwa mtu mzima wa 35+ kulala na vimwana. Siongelei kulala tu, hata kuoa.
Mimi nimeoa under age kwa maana ya 25 year old girl('chick').
Na pia, ni vema zaidi mzee mwenye umri mkubwa wa hata miaka 70+, kuoa kimwana, na mwanamke mdogo kiumri.
Binafsi, zaidi michepuko yangu(wanaume wengi tuna michepuko, ni kawaida) mimi ina range kwenye 18-20 (hard cap). Napenda mno vimwana.
Tukirudi madani, LIKUD hana kosa kisheria au kidini(kama ni believer), kupendelea kulala na under age, ni privacy yake.
Wanaume tuache kuoneana wivu kwenye 'hakuna'. Nilisikitishwa sana na matusi na kejele kwa huyu jamaa kwenye ule uzi wake(nimeusahau jina kidogo).
Sasa nyie(wanaume na wanawake) mnaopinga hili, mnapinga kwa misingi ipi?
Okay, mtamshtaki? Mtamroga?
Kama unapenda kutoka na wanawake watu wazima ni wewe, it's well off with you. Acha wengine wachungulie nyuchi changa za under age (kama mnavyowaita) wa 18-20(max limit).
18-20 ni binti mtu mzima. Mzee wa miaka 65 ni mtu mzima. Wote ni above 18, ni watu wazima, choices zao ziheshimiwe.
Bravo LIKUD ✊
Kufuatia uzi aliouandika member mwenzetu LIKUD hapa majuzi, kuonesha namna ambavyo anapenda kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana wadogo wa miaka 18-25, mimi nami nina mtazamo sawa.
Kwanza kabisa, kisheria, mtu anayefanya mapenzi na mwanamke chini ya miaka 18 ndiye aliyebaka.
Mimi nina miaka 35+, ila udhaifu wangu na choice yangu kubwa sana ni hivi vimwana vya miaka 18-24 mwisho, ikizidi sana basi 26. Juu ya hapo nawaona kama 'mashangazi', siko interested nao.
Kuna raha sana kwa mtu mzima wa 35+ kulala na vimwana. Siongelei kulala tu, hata kuoa.
Mimi nimeoa under age kwa maana ya 25 year old girl('chick').
Na pia, ni vema zaidi mzee mwenye umri mkubwa wa hata miaka 70+, kuoa kimwana, na mwanamke mdogo kiumri.
Binafsi, zaidi michepuko yangu(wanaume wengi tuna michepuko, ni kawaida) mimi ina range kwenye 18-20 (hard cap). Napenda mno vimwana.
Tukirudi madani, LIKUD hana kosa kisheria au kidini(kama ni believer), kupendelea kulala na under age, ni privacy yake.
Wanaume tuache kuoneana wivu kwenye 'hakuna'. Nilisikitishwa sana na matusi na kejele kwa huyu jamaa kwenye ule uzi wake(nimeusahau jina kidogo).
Sasa nyie(wanaume na wanawake) mnaopinga hili, mnapinga kwa misingi ipi?
Okay, mtamshtaki? Mtamroga?
Kama unapenda kutoka na wanawake watu wazima ni wewe, it's well off with you. Acha wengine wachungulie nyuchi changa za under age (kama mnavyowaita) wa 18-20(max limit).
18-20 ni binti mtu mzima. Mzee wa miaka 65 ni mtu mzima. Wote ni above 18, ni watu wazima, choices zao ziheshimiwe.
Bravo LIKUD ✊