Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TIN = Tax payer Identitification Number...TIN number ni muhimu na bado sijaona sababu yoyote ya mpaka ufike 18. Wataalamu naomba sababu kwanini mpaka 18 years ndio upate.
Kisheria kwa nchi yetu mtu yeyote mwenye umri chini ya miaka 18 hawezi kuingia kwenye mkataba wowote labda awe na msimamizi ambae yupo juu ya miaka 18 na ni kwa baadhi ya ishuTIN number ni muhimu na bado sijaona sababu yoyote ya mpaka ufike 18. Wataalamu naomba sababu kwanini mpaka 18 years ndio upate.
Kuna 16 years kibao wamejiajiri au wanatakiwa kuna mali aimiliki lakini anashindwa kisa hana TIN number.TIN = Tax payer Identitification Number...
Mlipa Kodi ni mwenye kufanya kazi ya kuajiliwa au kujiajiri...
Mwenye miaka 18 ni mtu mzima kisheria na ndiyo umri wa kuruhusiwa kufanya kazi.
Shukran nimeelewa.Kisheria kwa nchi yetu mtu yeyote mwenye umri chini ya miaka 18 hawezi kuingia kwenye mkataba wowote labda awe na msimamizi ambae yupo juu ya miaka 18 na ni kwa baadhi ya ishuView attachment 2982438
Kisheria bado hawatambuliki kama watu wazima haoKuna 16 years kibao wamejiajiri au wanatakiwa kuna mali aimiliki lakini anashindwa kisa hana TIN number.
Ata simamiwa mpaka akifikisha miaka 18 atakabidhiwa.Kuna 16 years kibao wamejiajiri au wanatakiwa kuna mali aimiliki lakini anashindwa kisa hana TIN number.
naunga mkono hoja jibu mujaarabu sana hiliTIN = Tax payer Identitification Number...
Mlipa Kodi ni mwenye kufanya kazi ya kuajiliwa au kujiajiri...
Mwenye miaka 18 ni mtu mzima kisheria na ndiyo umri wa kuruhusiwa kufanya kazi.
kuna sabau gani huwezi piga kura mpaka ufikishe miaka 18?TIN number ni muhimu na bado sijaona sababu yoyote ya mpaka ufike 18. Wataalamu naomba sababu kwanini mpaka 18 years ndio upate.
nilikuwa namaanisha kwamba serikali ya tanzania mtoto akifikisha miaka 18,sio mtoto tena naukumbuke mtoto anatakiwa kuwa chini ya wazazi ndoanake ata sherika ya kazi duniani ni kosa kumwajiri mtoto [chid labour offence},,ata jeshini ni kosa,ndo manake mtoto hawezi kupewa leseni ya gari wala umiliki wa silaha......CRITCALLY THINKING!!,,,,,ndo manake kuna jela a watoto mazee!!Kura tofauti na TIN number,maana sometimes kuna mali inabidi uimiliki ni Halali yako na unashindwa miliki kisa umri.
Iliwekwa miaka 18,Kuna 16 years kibao wamejiajiri au wanatakiwa kuna mali aimiliki lakini anashindwa kisa hana TIN number.