Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Pamoja na kuwa ni bonanza lakini matokeo ya mwisho yana umuhimu wake,unafikiri nyomi kama lile na furaha yote ile halafu mtunguliwe bado mngemlaumu kocha. Anzeni kumhukumu kocha ligi ikishashika kasi.Nani hamjui Inonga, nani hamjui kapombe, nani hamjui all Salim, nani hamjui Kanoute, nani hamjui Kibu, nani hamjui mwamba wa Lusaka, nani hamjui Bocco, nani hamjui Mzamiru, nani Tshabalala, nani Saido?
Watu tumefurika uwanjani kuwaona akina Fabrice, akina Onana, Kramo, Hussein Kazi, Abdallh Hamis, je Phri kaona kweli, tumuone Chilunda, tumuone Duchu.
We Robertinho vip bwana, hì haihitaji kwenda shule kujua, hao akina Kibu tunawajua sasa umetunyima nafasi ya kuwaona wachezaji wapya na jana ndio mahali pake.
Halafu koma kumtoa Chama.
Simba aina shabiki wa hovyo kama wewe,wewe ni Utopolo.
Kocha anafahamu kuwa mnamjua Kibu, ila alitaka kuwakera tuWe Robertinho vip bwana, hao akina Kibu tunawajua sasa umetunyima nafasi ya kuwaona wachezaji wapya
Wewe nawe tumechoka na malalamiko yako, utadhani sio wa kiume bwana!MBONA KILA SIKU NINAANDIKA HAPA IMBA HAWAJASAJILI VIZURI.
.
1. Simba Tangu AMEUMIA Manura na kakolanya miezi karibu 6 hawana Golikipa No 1
.
2. Walishindwa KUMSAJILI YAHAYA mbegu Kumchallange shabalala kwenye No 3.
.
3. Wameshindwa KUSAJILI Beki wa maana Kumchallange Inonga na MAlone.
.
4. Hawana kiungo NO 6 MKABAJI.
.
5. Hawana MSHAMBULIAJI WA kumchallange Baleke.
.
BADALA YAKE WAMEJAZA MAWINGA karibu 10.
1. kibu.
2.saido.
3. Mwinuke.
4. Chama.
5. Phili.
5. Kram.
6. Onana.
7. MIQUESSON.
8. BANDA
( KATIKA HAWA WATU 8 WANATAKIWA KUANZA NI 3 TU.)
7,10,11.
Alex FERGASON ana sema safu Bora ya ushambuliaji itakupa MAGOLi, safu Bora ya ulinzi itakupa mataji
Wewe nawe tumechoka na malalamiko yako, utadhani sio wa kiume bwana!
Ni ushauri mzuri kwa mtu mwenye kutunza mavitu moyoni, mwenye kutoridhika na mwenye kulalamika lalamika kila mara. Kwa vyovyote una uzoefu wa kutumia njia hiyoPole sana mkuu.JITAHIDI kunywa maji mengi kwa Afya yako. TUMIA sana mboga za majani na matunda. PUNGUZA vyakula vya WANGA na sukari ni Mbaya sana mwilini. JITAHIDI pia kutenga hata dakika ³⁰ 30za Mazoezi. Ni ushauri tu
2023 ligi iliishaisha mkuu na bingwa ni Yanga sc. Labda ulimaanisha 2024Mm ni YANGA ila simba BINGWA 2023
Hata masuala ya mpira huyajui kolo we 2023 bingwa keshapatikana.Mm ni YANGA ila simba BINGWA 2023
Usichoelewa ni kuwa Kocha ameangalia mechi za mkwakwani wiki hii,usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene.Nani hamjui Inonga, nani hamjui kapombe, nani hamjui all Salim, nani hamjui Kanoute, nani hamjui Kibu, nani hamjui mwamba wa Lusaka, nani hamjui Bocco, nani hamjui Mzamiru, nani Tshabalala, nani Saido?
Watu tumefurika uwanjani kuwaona akina Fabrice, akina Onana, Kramo, Hussein Kazi, Abdallh Hamis, je Phri kaona kweli, tumuone Chilunda, tumuone Duchu.
We Robertinho vip bwana, hì haihitaji kwenda shule kujua, hao akina Kibu tunawajua sasa umetunyima nafasi ya kuwaona wachezaji wapya na jana ndio mahali pake.
Halafu koma kumtoa Chama.
Kocha kaona mbele zaidi mechi za ngao ya hisani kwani zina tija kubwa kuliko hilo bonanza,wanaomlaumu wameangalia hatua moja mbele yao na yeye kaangalia hatua mia mbeleLengo lilikuwa ni kuonyesha kikosi kipya cha msimu wa 2023-2024 na utambulisho wa sajili mpya. SimbaSC #NguvuMoja #UnyamaMwingi.