Ukiangalia utendajikazi wa marais waliopita na kona za nchi walikozaliwa na kukulia, utaona wazi kwamba kuna maeneo ya nchi hii hayastahili kabisa kupewa nafasi ya urais. Hili siyo suala la ukabila au dini, ni jambo linalotokana na makuzi ya watu, ndani yake kukiwa na mila.
Tujadili bila mihemuko, lakini ukweli ni kwamba hii kanda ya Pwani na Zanzibar haistahili kabisa kutoa kiongozi wa nchi. Nimeandika haya baada ya kuangalia utendaji kazi wa ma-rais wetu waliopita.
Tunaosita kutoa maoni, tujiulize kwa nini hata mkoloni aliona haina faida kutumia watu wa pwani kukata mkonge. Au hata kuwaingiza kwenye jeshi la KAR.
Tujadili bila mihemuko, lakini ukweli ni kwamba hii kanda ya Pwani na Zanzibar haistahili kabisa kutoa kiongozi wa nchi. Nimeandika haya baada ya kuangalia utendaji kazi wa ma-rais wetu waliopita.
Tunaosita kutoa maoni, tujiulize kwa nini hata mkoloni aliona haina faida kutumia watu wa pwani kukata mkonge. Au hata kuwaingiza kwenye jeshi la KAR.