johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unaujua mshahara wa J J Mnyika lakini?Haahaa kwani vyama vyote vinapata ruzuku? Na je havina makatibu wakuu? Hakuna logic mkuu
Kilichombadili Slaa ni Upnzani Kuwa na Tamaa lwa lowasa, UPINZANI NDO ULIBADILIKA SIYO SLAAYes Mnyika anaweza kubadilika hata kesho lakini haibadili ukweli ni moja ya vijana competent CHADEMA wasio na historia ya ujanja ujanja. He means business, same to Kigaila et al.
Hata Dr Slaa aligeuka mwishoni tu ila track record yale hata CCM huwa mna appreciate alikua anajitambua saa na sio mpinzani njaa kma kina Lipumba.
Mbona Mnyika, au Kigaila hawakuhama? Walijitenga tu ila baadae walipoondoka kina Lowassa hao wamekua active tena.Kilichombadili Slaa ni Upnzani Kuwa na Tamaa lwa lowasa, UPINZANI NDO ULIBADILIKA SIYO SLAA
Kila mtu Ana njia yake ya Kuyatatua mambo yanayomzonga!Mbona Mnyika, au Kigaila hawakuhama? Walijitenga tu ila baadae walipoondoka kina Lowassa hao wamekua active tena.
Kama angekuwa mvumilivu mbona angemu-outlive Lowassa few years later. Na pengine angekiongoza chama kuelekea uchaguzi wa 2020.
Tukubali Slaa was wrong to dessert chama kipindi walipomuhitaji sana..... Angesema wazi tu kuwa hamu endorse lakini anaheshimu public opinion fullstop.
Dada wahi kipimo china inawapa bure chanjo kwa urafiki wao na ccm...undgu ndio huoKuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.
Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).
Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.
Britannica
Pole wahi chanjo yenu ccm rafiki wenu wa maendeleo anawachanja bure,wanachama wote ccm mnatakiwa dom mpate chanjo hii toka kwa pm wa chinaHawana ubavu.
Wanajitutumua tu.
Kete mbovu kivipi? Hvi kwa hype ya magufuli 2015 unadhani nani angeweza mchallenge hadi kumneutralize kiasi kile zaidi ya Lowassa tu?? Nadhani benefits zilikua kubwa kuliko hasara zake maana ndio ushindi mkubwa zaidi wa upinzani katika historia na kma tume ingekua transparent zaidi tungekua na serikali by now.Kila mtu Ana njia yake ya Kuyatatua mambo yanayomzonga!
Tuwe wakweli Mnyika Hakuwai Kupigania Ustawi wa Chama Kama Slaa, na Slaa kwa kipindi Kile ndo alikuwa kwenye risk kubwa zaidi,
Alafu Kati ya Kete Mbovu alizowai kusukuma Mbowe ni hiyo ya 2015
Tukubali Mbowe ni Mwamba, Ila kwa mwaka 2015 alizingua
Britannica
Umeona....Trump angekuwa afrika angeshinda kwa 99%
hiyo inaitwa siri sirini, ila walisahau ya kuwa watakuja kuumbuka kwa kuudanganya umma wa wana CDM. Kweli pesa tamu.Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.
Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).
Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.
Britannica
Ile karata ya 2015 aliyocheza mbowe athari zake tumeziona sote. Kupata wastani wa A-plus kwenye test na kuja kupata wastan F au zero mtihani wa kuhitimu ni akili ya matope, na ndicho kilicho ikuta CDM.Kete mbovu kivipi? Hvi kwa hype ya magufuli 2015 unadhani nani angeweza mchallenge hadi kumneutralize kiasi kile zaidi ya Lowassa tu?? Nadhani benefits zilikua kubwa kuliko hasara zake maana ndio ushindi mkubwa zaidi wa upinzani katika historia na kma tume ingekua transparent zaidi tungekua na serikali by now.
Kwamba Mnyika hakuwahi kupigania ustawi? Mnyika mpaka alitelekeza jimbo ili akajenge chama mikoani.... Bungeni Nadhani wote tuliona alivyojitahidi kujenga hoja za kueleweka. Lakini kutokuhama kumempa heshima leo hii katibu Mkuu hta Zitto kma angekua mvumilivu leo hii angekua Mwenyekiti CHADEMA.
Kwenye masuala ya siasa au vita za mamlaka ustahimilivu ndio kila kitu, unasubiri adui yako apoe nguvu alafu unampiga knock out kubwa!! Sio kukata tamaa na kukimbia.
Mama yako ndio mpinzani wa kweliUpinzani kwa sasa limebaki jina tu hakuna upinzani kwa hivi sasa hao wote wapo kwa ajili ya matumbo yao tu.
kweli kabisaKuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.
Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).
Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.
Britannica
Sema bibi yako sio mamaangu hujui mimi ni babaako?Mama yako ndio mpinzani wa kweli
nadhani hio sauti ilichelewa Mimi siku wanakubaliana nilishaoneshwa kabisaKuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.
Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).
Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.
Britannica
Shida ilianza baada ya katibu mkuu na jopo lake kuanza kulituhumu bunge, wazee wa hizi shuhuli wakaja na mkakati kabambe wa kuhakikisha katibu mkuu na jopo lake wanaufyata mkia na kuwa wanyonge na plan ikafaulu. Watu wanaendelea kula mema ya nchi kwa mwamvuli wa upinzaniKwa jinsi chadema wanavyolishugulikia ni wazi kabisa wana baraka za viongozi wa juu, Baraza kuu mpaka sasa limeshindwa kukaa na kutolea maamuzi rufaa ya kina Mdee ni wazi kabisa kuna kitu kinachoendelea hatukijui
KumbeDhambi waliyoitenda akina Halima James Mdee kwa Chadema ni zaidi ya ile Yuda Iskarioti alimtendea Yesu Kristo!
Mbona wameshasemama Ni Michango ya Wapenzi wa Chama na Wanachama mkuu.Kama hawajapata ruzuku hapo Ufipa wanaishije?
CDM wote wapigaji, sema wanatofautiana mbinu & ukubwa wa matokeo/ mavuno. Alianza Mnyika, wakavunga vunga na kujifanya hawajui, akaja mwnyekit nae pia wakapotezea, alipoibuka sauti ya zege na bingo lake wahuni wama-mind eti kwanini amevuna mavuno mengi wakati kapanda kwa nguvu zetu???Kumbe