Kuna Sauti inanijia kwamba huenda wabunge 19 wa CHADEMA wana baraka za Mwenyekiti kwa makubaliano maalumu kutotoboa siri

Ile karata ya 2015 aliyocheza mbowe athari zake tumeziona sote. Kupata wastani wa A-plus kwenye test na kuja kupata wastan F au zero mtihani wa kuhitimu ni akili ya matope, na ndicho kilicho ikuta CDM.

Saiv upinzani upo dhoofu-lihali,

..upinzani umedhoofu kwasababu Magufuli alitumia nguvu kubwa ya vyombo vya ulinzi na usalama kuwaandama viongozi na wafuasi wa upinzani.

..chadema walikuwa na uwezo wa ku-recover kutokana na makosa ya kumchukua Lowassa.

.. Tatizo alipoingia Magufuli Chadema walikutana na mazingira mapya kabisa ambayo hakuna chama cha siasa hapa Tanzania kinaweza kukabiliana nayo.

..kwa siasa za Tanzanja chama kimoja cha upinzani kikiporomoka chama kingine huibuka.


..Kuporomoka kwa Chadema kutokana na kumpokea Lowassa kulitakiwa kufuatiwe na defections frm Chadema na kuibuka kwa chama kingine cha upinzani.

..Sasa tujiulize kwanini hakuna chama cha upinzani kilicho-capitalize kwa makosa waliyofanya Chadema.

..Magufuli ametunyima Watz fursa ya kuvuna matunda ya demokrasia. Tanzania ilikuwa inaelekea kuwa na bunge lenye 40% wapinzani. Maana yake ni kwamba maamuzi ya nchi yetu yangekuwa yanafanyika kwa majadiliano, mashauriano, na maridhiano, ndani ya BUNGE letu.
 
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.

Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).

Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.

Britannica
Mwenyekiti anavyo andamwa na watawala ingekuwa ni kweli ihgeishavujishwa Ili kumdhoofisha.
 
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.

Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).

Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.

Britannica
We jamaa unateseka sana
 
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.

Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).

Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.

Britannica
Na ni Mbowe aliyewaapisha?

Amandla...
 
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.

Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).

Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.

Britannica
Hivi unadhani kama wangen
 
Mbowe ni Mhuni, na anajua kucheza na akili za hawa wapuuzi wafuasi wake, akina Mdee wana baraka zote za Mbowe, ila kuwatuliza hawa wafuasi maandazi wakapiga zile sarakasi za kuwafukuza! Kifupi Mbowe kaifanyia mambo mabaya sana nchi hii, kavumiliwa sana since enzi za Kikwete, hata Magufuli naye alijitahidi sana kumvumilia, mambo yake maovu mengi aliyofanya yanafahamika kwa sasa, Mwisho wake umefika! Hawa wafuasi wake wahuni wanashindwa kujiuliza awamu hii imeondokana na makesi yote mabovu mabovu, why ya Mbowe haiondolewi? Sababu kubwa ni kwamba jamaa ni hatarishi kwa taifa hili, Ni kirusi wa nchi
 
Mbowe awaapishe kwa wadhifa gani alionao bungeni? Mbowe kawapeleka spika kawaapisha.
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kujipeleka bungeni akaapishwa na akawa mbunge.
Na Spika alikuambia peke yako kuwa wakina Halima walipelekwa na Mbowe? Unadhani ingekuwa hivyo, Spika angeacha kusema leo?

Amandla...
 
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.

Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).

Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.

Britannica
Naam, deep secret
 
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari.

Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika).

Ni mawazo yangu ila tuwaze nje ya Box.

Britannica
Mbowe siyo gaidi
 
Lakini Sauti haijakujia Mbowe na wenzake wamekuwa wanapata mlo mmoja kwa siku kwa miezi mitano!
 
Wale Covid-19 walikula dili na mwendazake and as a part of the deal mwendazake akamtoa gelezani yule Covid-19 mwingine usiku kwa usiku na asubuhi yupo dom kuapa pale bungeni kwa jobo.

Mwendazake alifanya yasiyowezekana yakawezekana...

Sasa kwa mambo yalivyo wana wakati mgumu mno..yaonekana CCM inakwemda kuwacheua muda si mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…