Mwanadiplomasia Mahiri JF-Expert Member Joined Nov 4, 2019 Posts 491 Reaction score 1,907 Nov 14, 2024 #1 Huku kuna vibaka na wahuni aisee! Ukiwa mgeni hujulikani unaweza ukakabwa hata mbele ya wamama wakaanga sambusa na wakabaji wasifanywe kitu chochote. Kuna sehemu ya kuizidi Kiwalani kwa vibaka? Tushirikishe
Huku kuna vibaka na wahuni aisee! Ukiwa mgeni hujulikani unaweza ukakabwa hata mbele ya wamama wakaanga sambusa na wakabaji wasifanywe kitu chochote. Kuna sehemu ya kuizidi Kiwalani kwa vibaka? Tushirikishe
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 12,846 Reaction score 28,106 Nov 14, 2024 #2 Keko, Buguruni
S Statistics JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 3,666 Reaction score 7,788 Nov 14, 2024 #3 Acheni unyonge. Nunua panga na mkuki muwakabili kibabe.
Cannabis JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 11,557 Reaction score 33,535 Nov 14, 2024 #4 Sasa kama mtu anaweza kutekwa huku kina mama wanaangalia tu nafikiri hata ukikabwa huko Daslam hamna mtu atakayekupa msaada
Sasa kama mtu anaweza kutekwa huku kina mama wanaangalia tu nafikiri hata ukikabwa huko Daslam hamna mtu atakayekupa msaada
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 Nov 14, 2024 #5 Dar Huwa natembea usiku mkubwa na nikiwa nimelewa ila sijawahi kubahatika kukabwa
Alez von lumor JF-Expert Member Joined Nov 4, 2023 Posts 516 Reaction score 1,474 Nov 14, 2024 #6 Kibaka anikabe anafaidika na nini? Labda kama amezitamani kandambili zangu hapo sawa
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Nov 14, 2024 #7 Andre-Pierre said: Huku kuna vibaka na wahuni aisee! Ukiwa mgeni hujulikani unaweza ukakabwa hata mbele ya wamama wakaanga sambusa na wakabaji wasifanywe kitu chochote. Kuna sehemu ya kuizidi Kiwalani kwa vibaka? Tushirikishe Click to expand... Kiwaside ,kiwabusy mc ndani ya rap safari yeeeee! For Real, Nini mnataka mazeeeee!
Andre-Pierre said: Huku kuna vibaka na wahuni aisee! Ukiwa mgeni hujulikani unaweza ukakabwa hata mbele ya wamama wakaanga sambusa na wakabaji wasifanywe kitu chochote. Kuna sehemu ya kuizidi Kiwalani kwa vibaka? Tushirikishe Click to expand... Kiwaside ,kiwabusy mc ndani ya rap safari yeeeee! For Real, Nini mnataka mazeeeee!
CHANANJA DYNASTY JF-Expert Member Joined Sep 14, 2024 Posts 772 Reaction score 1,121 Nov 14, 2024 #8 mwananyamala kisiwani, tandale kwa mtogole, kinondoni mosque, msisiri b,
LIKUD JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 18,037 Reaction score 33,681 Nov 14, 2024 #9 Hakunaga