FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nimepita hapo.
Watu ni wasiri sana, Hivi ni mimi tu ndio nilikuwa sipafahamu hapo au?
Watu ni wasiri sana, Hivi ni mimi tu ndio nilikuwa sipafahamu hapo au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mshamba tu.Nimepita hapo.
Watu ni wasiri sana, Hivi ni mimi tu ndio nilikuwa sipafahamu hapo au?
Kuhusu bei ni kweli ipo juu, ila pametulia jamani, nimesuuzika sanaNi wewe tu ulikuwa hupafahamu....
Vyakula ni bei ghali....Ila pombe bei siyo mbaya..
Hii ni kubwa na imetuliaaa…Walevi hatupendi bar kubwaa
Shosti we na pombe😂Ni wewe tu ulikuwa hupafahamu....
Vyakula ni bei ghali....Ila pombe bei siyo mbaya..
😅😅😅😅Tulia.Shosti we na pombe😂
Nimetulia😂 likes zangu umeziona huko insta ?😅😅😅😅Tulia.
🤣🤣🤣🤣Sasa ya Insta unayazungumziaje JF lakini?Nimetulia😂 likes zangu umeziona huko insta ?
Yaah ww kweli mleviWalevi hatupendi bar kubwaa
Nimeacha😄 mdomo koma🤣🤣🤣🤣Sasa ya Insta unayazungumziaje JF lakini?
😅😅😅😅Eeeeh hivyo.Nimeacha😄 mdomo koma
Eeh, hii ipo wapi tena.., aagh, Tabata wanapenda raha jamani..Pazuri hasa ile swimming ya juu..
nenda sehem inaitw Kinyerez Lifestyle Villa.. hapo ndio my favorite place nikiw home Tabata.
Hapo hapo.. ila ndan kdg haiko road.. kama kuna mke wa mtu unatak umfinye huko ndipo penyewe.. kuna rooms pia..Eeh, hii ipo wapi tena.., aagh, Tabata wanapenda raha jamani..
kama haina malaya wa kutosha nj ngumu kuwa maarufuNimepita hapo.
Watu ni wasiri sana, Hivi ni mimi tu ndio nilikuwa sipafahamu hapo au?