ochu hulker
Member
- Apr 16, 2013
- 18
- 5
Ninachoshangaa mimi ni kwanini Lema apewe dhamana kwa kesi ya
uchochezi na kwanini Ponda anyimwe dhamana kwa kesi hiyohiyo ya uchochezi je hii ni haki katika nchi hii inayoitwa ya utawala bora najua nitatukanwa kutoka upande wa CCM,CHADEMA na WlAKRISTO
uchochezi na kwanini Ponda anyimwe dhamana kwa kesi hiyohiyo ya uchochezi je hii ni haki katika nchi hii inayoitwa ya utawala bora najua nitatukanwa kutoka upande wa CCM,CHADEMA na WlAKRISTO