Kwa siku tatu sasa ukitaka kuhakiki ubora
Pombe kali konyagi.k vant nk mfumo unatoa mesage.MANTANANCE MODE AU SERVER UNAVAILABILITY TRY AGAON LATER .
Vile vili kuna hisia watu kuanza kupata shida kunywa vinywaji vikali.
Je kuna shida gani? Wahusika tunaomba mrejesho haraka.