shida kubwa ni hiyo lkn bonny ata ukinitongoza najua kikubwa ni mgegedo lkn sio siku hiyo hiyo hapana kwakweli ila kila mtu na mtazamo wake ila kwangu mm hapanaKwahyo shida kubwa kwenu ni muda wa kupigwa mambo na sio kuambiwa straight
Babu ni kuhusu kuhonga bana je unapenda mwanamke akuombe hela moja kwa moja au ajibebishe ndio umpe hivi we mzee unahonga kweliPesa kama pesa imekuwa ngumu kupatikana kwakuwa serikali imeamua kuhamishia fedha zake benki kuu... hii inasababisha mabenki ya kibiashara yasote kwakuwa pesa inakuwa haiko kwenye mzunguko.
Nadhani titakuwa timeeleana...
Kuna swali jingine?? Fanya haraka maana muda wa kwenda kumlenga bibi yenu umekaribia.
Mi sihongi... huwa natoa.Babu ni kuhusu kuhonga bana je unapenda mwanamke akuombe hela moja kwa moja au ajibebishe ndio umpe hivi we mzee unahonga kweli
hapa bonny anamzungumzia mchepukoMi sihongi... huwa natoa.
Hii ya kuomba hela anayeniomba ni nani... mama yangu? Dada yangu? Mke wangu? Mchepuko wangu au mwanangu?
Sasa mchepuko si nimeutaka mwenyewe? Ukitaka hela naupa... kama sina nauambia hali mbaya. Na wenyewe siku nyingine naukopesha afu siurudishii hela yake... chezea babu wewe??hapa bonny anamzungumzia mchepuko
ila babu nimekupenda we unatoa unajua wajibu wako sio uombwe wengine kuomba hatujazoea hahah babu kweli ww mwanaume
hapo sawa babu we toa hela tuuu la sivyo utagongewaSasa mchepuko si nimeutaka mwenyewe? Ukitaka hela naupa... kama sina nauambia hali mbaya. Na wenyewe siku nyingine naukopesha afu siurudishii hela yake... chezea babu wewe??
Sasa mwanaume kwakuwa haombi, anakopa. Na akikopeshwa ndo anakuwa kapewa by default...hapo sawa babu we toa hela tuuu la sivyo utagongewa
ila hapo kwenye kukopwa na kutolipa nawaza tu ujue mpenzi hakopeshwi yaan ukimkopesha jua umetoa sadaka hairudiii
hahhaha na kweli daah babuSasa mwanaume kwakuwa haombi, anakopa. Na akikopeshwa ndo anakuwa kapewa by default...
nasema kweli ndio mpenzi hakopeshwiunasema kwel hayo maneno????
Ha ha ha ha ha ha asante shunie hapo uso mkavuuuuunasema kweli ndio mpenzi hakopeshwi
mpenzi wako akija kwa gia ya kukukopa halaf hakurudishii hela yako unakaa tu kimya
shida haziishi ipo siku yatamfika atarudi tena ili umsaidie unamwambia tu sina au unamuuliza mbona za mwanzo hazijarudi
umenipa asante ya nini tena mbona sijaelewaHa ha ha ha ha ha asante shunie hapo uso mkavuuuuu
Ila mimi manzi niyekuwa kabla ya wakati huu, tulikuwa tunapeana bila kudaiana, akikwama nampa, nikikwama ananipa.nasema kweli ndio mpenzi hakopeshwi
mpenzi wako akija kwa gia ya kukukopa halaf hakurudishii hela yako unakaa tu kimya
shida haziishi ipo siku yatamfika atarudi tena ili umsaidie unamwambia tu sina au unamuuliza mbona za mwanzo hazijarudi
we unatakiwa umpe tu sio mpk akwameIla mimi manzi niyekuwa kabla ya wakati huu, tulikuwa tunapeana bila kudaiana, akikwama nampa, nikikwama ananipa.
Aseeehwe unatakiwa umpe tu sio mpk akwame
ndio bamdogo we utasubili mpk mamdogo akwame ndio utoeAseeeh
Hili sina shida nalo mamdogo mama yako huwa anajinafasi walaindio bamdogo we utasubili mpk mamdogo akwame ndio utoe
mwanaume una mpenzi wako ukiwa nazo mpe tu sio mpk akwame au akuombe