Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Habari zenu ndugu wana JamiiForums, nimeona kama kawaida yangu na hili niwashirikishe kuna ndugu wa karibu mwenye jinsia ya kike umri wake kwa sasa anaweza kufikia miaka 52 amekuwa na tabia ambayo kidogo inanichanganya.
(1) Akikuta naongea na mwanamke kwa mahaba uso wake unabadirika na kuonyesha chuki kuu yaani hapendi kabisa hiyo hali.
(2 ) Vitu vyangu vya samani huvifanyia fujo yaani hajali kuwa vinaweza kuharibika mfano masofa na gesi.
(3 ) Nikienda kumtembelea kwake hupenda kunisachi kwenye begi langu na kama akikuta condom au sigara huvichukua ( sielewi kuwa huwa anaenda kuvitupa au anaenda kutumia!)..
(4) Anajisikia amani sana akiniona naishi maisha ya kisela yaani nisiwe kabisa na mpango wa kuanzisha familia. Wakuu nahitaji maoni yenu na mchango wenu
(1) Akikuta naongea na mwanamke kwa mahaba uso wake unabadirika na kuonyesha chuki kuu yaani hapendi kabisa hiyo hali.
(2 ) Vitu vyangu vya samani huvifanyia fujo yaani hajali kuwa vinaweza kuharibika mfano masofa na gesi.
(3 ) Nikienda kumtembelea kwake hupenda kunisachi kwenye begi langu na kama akikuta condom au sigara huvichukua ( sielewi kuwa huwa anaenda kuvitupa au anaenda kutumia!)..
(4) Anajisikia amani sana akiniona naishi maisha ya kisela yaani nisiwe kabisa na mpango wa kuanzisha familia. Wakuu nahitaji maoni yenu na mchango wenu