Kuna shida namna ya Israel inavyotazamwa na waumuni wa dini ya Kikristo

Kuna shida namna ya Israel inavyotazamwa na waumuni wa dini ya Kikristo

Sijakataa kuwa hawana nguvu la hasha.. Wana nguvu Hata siasa ya ulaya wameikamata mataifa hayo makubwa hupenyi kwenye uchaguzi ukapata kuongoza nchi kama huna damu yao.. ila kwa wazungu wenzetu the enemy is unmasked...

Yan wazungu wameshawajua wayahudi ni watu WA namna gani.. kinachowapa ugumu ni kuwa tu wayahudi wameshaji-cement kwenye mifumo ya hizo nchi.. Yan wameshika mpini

Na wayahudi vichwa vinaumaa.. kitendo Cha kuwa uchi kwa wazungu.. wanaishi kwa tahadhari maana wanajua they can't fool wazungu anymore.. Yan wazungu Wana struggle kufanya comeback Sasa forces zinashindana . Kwa sababu wayahudi Leo wanawaburuza wazungu wakati wao wageni tu ulaya ... Na sio kwann ni hizo dhuluma
Hittler alikua mkristo na alijua upuuzi wao ndio maana akawafyeka wengi xnaa ,wayahudi wengi waliuliwa na mkristo asa unajiuliza hao wakristo msimamo wao upi
 
Sijakataa kuwa hawana nguvu la hasha.. Wana nguvu Hata siasa ya ulaya wameikamata mataifa hayo makubwa hupenyi kwenye uchaguzi ukapata kuongoza nchi kama huna damu yao.. ila kwa wazungu wenzetu the enemy is unmasked...

Yan wazungu wameshawajua wayahudi ni watu WA namna gani.. kinachowapa ugumu ni kuwa tu wayahudi wameshaji-cement kwenye mifumo ya hizo nchi.. Yan wameshika mpini

Na wayahudi vichwa vinaumaa.. kitendo Cha kuwa uchi kwa wazungu.. wanaishi kwa tahadhari maana wanajua they can't fool wazungu anymore.. Yan wazungu Wana struggle kufanya comeback Sasa forces zinashindana . Kwa sababu wayahudi Leo wanawaburuza wazungu wakati wao wageni tu ulaya ... Na sio kwann ni hizo dhuluma
Hittler alikua mkristo na alijua upuuzi wao ndio maana akawafyeka wengi xnaa ,wayahudi wengi waliuliwa na mkristo asa unajiuliza hao wakristo msimamo wao
 
Leo wamempiga narufuku Mkristo safi kabisa, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa asiguse ardhi yao.

Hao mazayuni ni mashetani kabisa.
 
Masuala ya hizi vita jamani tuwaachie wenyewe najua kuna muda utafika watapumzika na kuendeleaaa...kama ambavyo wanaendelea saiv tangu karne ya 19.

Sisi tulioletewq hizi dini na pia wakazitumia dini zao kutunyanyasa kiuchumi,kisiasa,kijamii na kubaguliwa kwa kila namna tuombe tu Mungu wakipigana mafuta yasipande bei wala vyakula😅😅 hayo mengine tuwaachie wenyewe..
 
Msituhukumu sio wote, wapo tunao elewa ukweli na hatuungi mkono mauaji ya watu wasio na hatia yanayo fanywa na jeshi la Israeli.
Hakuna dini yoyote inayo ruhusu kumuuwa binaadamu yeyote asiye na hatia.
Tunalaani hamasi kuwauwa waisraeli karibu elfu moja wasio na hatia lakini pia tunalaani kwa Israeli kuendelea kuwauwa raia na haswa watoto wasio na hatia.
 
Kwanini mnaichukia Israel lakini wakristo hawana muda wa kuichukia saudia yenye makka? Pilipili usiyoila yakuwashia nini? Either waipende au wasiipende haiwahusu
 
KWANI YESU KRISTO ANATOKEA WAPI UKIJIBU SWALI HILI NDIO UTAPATA JIBU KWANINI NI NGUMU SANA KUUTENGANISHA UKRISTO NA UYAHUDI

HATA KAMA BAADHI YA WAYAHUDI WALIMKATAA WAKATI ULE LAKINI KRISTO YESU KUNA WAYAHUDI WALIMPENDA BALAA NYAKATI ZILE NA HATA SASA WAPO PIA FAHAMU HATA WEWE KUNA WATU WANAKUCHUKIA KWENYE UKOO WAKO SIO WOTE WANAKUPENDA SHEHE

MWISHO FUTA HUU UJINGA ULIO ANDIKA.
 
Nilichojifunza humu JF ikitajwa Israel kwenye masuala haya ya migogoro WA mashariki ya kati.. Kuna kundi ambalo ni diehard fans WA Israel Yan hao huwaambii kitu kuhusu Israel Hata iweje

Hata wakiskia Israel wamepiga bomu shuleni.. wao safiiiii. au wamepiga bomu hospital wao safiiii tu.

Kinachochekesha ni kuona kundi hili la diehard fans likijinasibisha na Israel kiimani kwamba ni wenzao kiimani 😂😂😂 Naonaga Hata kwenye magari yao wanaweka bendera za Israel... Bendera iliyoitengeneza 1948

Jaman Israel sio wakristo na hawautambui ukristo.. na Yesu hawamtambui kabisa kama nabii.. afadhali kidogo mussa.. kidogo kwa mbaaaali (in selemani bungara's voice). Yesu walimkataa mpaka wakaomba afunguliwe yule Baraba ambaye alikuwa mfungwa aliyetafutwa mno kwa makosa ya ubakaji na mauaji... Ila ni kiasi gan kizazi hiki hakikumkubali Yesu wakaomba Baraba aachiwe Yesu asulubiwe

Yesu mwenyewe alishawaita kizazi Cha nyoka hawa watu..wameua manabii wengi tu Hata Yohana mbatizaji walimuua kwa hila..

Mimi ninachokiona kwa wakristo WA Tanzania Wana zile grudges za ndani kwa ndani na uislamu na waarabu kitu kinachowatia upofu kuona... Na wakiona wapalestina kule Gaza Wanauliwa.. wao wanafurahi walijua wanakufa waislamu.. bila kujua Kuna Jamii ya waarabu WA Palestina ni wakristo pia . Kama kule Lebanon...

Wazungu wenzetu wako mbali sana kifikra.. hizi huruma na mitego ya wayahudi kupitia ANTISEMITISM kwamba wao ndio wanaonewa duniani... Hawapendwi... Wazungu washashitukia hiyo janja muuda na wazungu hao hao ndio wakristo wengi.. ndio maana Mnaona mpaka wazungu wanaandamana kuupinga sera zao za kikatili huko Gaza... Mpaka Biden alikalia kuti kavu.. na mpaka kanyoosha mikono kugombea tena

Halafu hizo sifa mnazowapa Israel sijui kijeshi hatari sijui nini wale ni wakawaida tu Tena sana.. mifumo ya ulinzi hizo iron domes zote kafungiwa na US.. na USA ana manuari zake ziko hapo hapo Mediterranean kumpa back up...

Pia hao wapalestina anaowapiga kila siku wamedhibitiwa mno na marekani kwenye kuaccess silaha.. wanatumia silaha za kawaida sana.. mabomu yenyewe tu Wana ungaunga kienyeji.. na US kabana kupitia vibaraka hapo Jordan. Saudia kwamba Palestina wasipate silaha za maana.. kwa sababu wanajua na ni ukweli... Kama vile vikundi vya Palestina vinapata silaha za maana za vita Israel kama taifa litafutika hapo..

Itafika nyakati kwa wakristo WA Tanzania watafikia hatua waliyofikia wakristo WA marekani na ulaya Sasa hivi.. ya kuwajua wayahudi vizuri... Hata wazungu walisumbuliwa sana na wayahudi kabla hawajawajua.. ila Sasa hivi wanahaha maana washawajua.. illa huku bado..
point tupu umeongea
 
Nilichojifunza humu JF ikitajwa Israel kwenye masuala haya ya migogoro WA mashariki ya kati.. Kuna kundi ambalo ni diehard fans WA Israel Yan hao huwaambii kitu kuhusu Israel Hata iweje

Hata wakiskia Israel wamepiga bomu shuleni.. wao safiiiii. au wamepiga bomu hospital wao safiiii tu.

Kinachochekesha ni kuona kundi hili la diehard fans likijinasibisha na Israel kiimani kwamba ni wenzao kiimani 😂😂😂 Naonaga Hata kwenye magari yao wanaweka bendera za Israel... Bendera iliyoitengeneza 1948

Jaman Israel sio wakristo na hawautambui ukristo.. na Yesu hawamtambui kabisa kama nabii.. afadhali kidogo mussa.. kidogo kwa mbaaaali (in selemani bungara's voice). Yesu walimkataa mpaka wakaomba afunguliwe yule Baraba ambaye alikuwa mfungwa aliyetafutwa mno kwa makosa ya ubakaji na mauaji... Ila ni kiasi gan kizazi hiki hakikumkubali Yesu wakaomba Baraba aachiwe Yesu asulubiwe

Yesu mwenyewe alishawaita kizazi Cha nyoka hawa watu..wameua manabii wengi tu Hata Yohana mbatizaji walimuua kwa hila..

Mimi ninachokiona kwa wakristo WA Tanzania Wana zile grudges za ndani kwa ndani na uislamu na waarabu kitu kinachowatia upofu kuona... Na wakiona wapalestina kule Gaza Wanauliwa.. wao wanafurahi walijua wanakufa waislamu.. bila kujua Kuna Jamii ya waarabu WA Palestina ni wakristo pia . Kama kule Lebanon...

Wazungu wenzetu wako mbali sana kifikra.. hizi huruma na mitego ya wayahudi kupitia ANTISEMITISM kwamba wao ndio wanaonewa duniani... Hawapendwi... Wazungu washashitukia hiyo janja muuda na wazungu hao hao ndio wakristo wengi.. ndio maana Mnaona mpaka wazungu wanaandamana kuupinga sera zao za kikatili huko Gaza... Mpaka Biden alikalia kuti kavu.. na mpaka kanyoosha mikono kugombea tena

Halafu hizo sifa mnazowapa Israel sijui kijeshi hatari sijui nini wale ni wakawaida tu Tena sana.. mifumo ya ulinzi hizo iron domes zote kafungiwa na US.. na USA ana manuari zake ziko hapo hapo Mediterranean kumpa back up...

Pia hao wapalestina anaowapiga kila siku wamedhibitiwa mno na marekani kwenye kuaccess silaha.. wanatumia silaha za kawaida sana.. mabomu yenyewe tu Wana ungaunga kienyeji.. na US kabana kupitia vibaraka hapo Jordan. Saudia kwamba Palestina wasipate silaha za maana.. kwa sababu wanajua na ni ukweli... Kama vile vikundi vya Palestina vinapata silaha za maana za vita Israel kama taifa litafutika hapo..

Itafika nyakati kwa wakristo WA Tanzania watafikia hatua waliyofikia wakristo WA marekani na ulaya Sasa hivi.. ya kuwajua wayahudi vizuri... Hata wazungu walisumbuliwa sana na wayahudi kabla hawajawajua.. ila Sasa hivi wanahaha maana washawajua.. illa huku bado..
Maelezo mazuri kabisa
Ingependeza ukawaambia na wale wa ng'ambo ya pili huenda upofu uko pande zote
 
Ukisoma bibilia utajua kwanini wakristo wanai support Israel .... ukombozi umetoka kwao . Na kuna ahadi za baraka na laana juu yao Mungu ametoa kwa yeyote yule atakae ibariki ama kuilaani Israel. Kwahyo nyie wa vitabu vingine ni ngumu kuelewa huu uhusiano uliopo kati ya wafuasi wa kristo na wana wa Israel .
 
Wayahudi wa mchongo wanaamini kwamba wakristo ni mazuzu dawa yao ni kuwatemea mate...Licha ya kukatazwa kumtaja Yesu kwenye nchi ya Israel bado wanawona marafiki zao 😀 😀 😀Kifupi, jamaa wanawashobokea sana hata majina hawaendani kabisa .

Wayahudi wa mchongo Marekani kweny jeshi hawapo kabisa , bajeti yao inatoka kule halafu unasikia wana uchumi mkubwa ...Wengi ni settlers hii hata shule za sekondari watu wanajua settlers ni walowezi , wametoka nchi nyingine kuja kufanya kilimo kama walivofanya kule kenya .


Mkristo anafundishwa kuwachukia waislamu na waarabu , wakati waarabu sio wote waislamu wapo wakristo .

spitting.jpg
 
Nilichojifunza humu JF ikitajwa Israel kwenye masuala haya ya migogoro WA mashariki ya kati.. Kuna kundi ambalo ni diehard fans WA Israel Yan hao huwaambii kitu kuhusu Israel Hata iweje

Hata wakiskia Israel wamepiga bomu shuleni.. wao safiiiii. au wamepiga bomu hospital wao safiiii tu.

Kinachochekesha ni kuona kundi hili la diehard fans likijinasibisha na Israel kiimani kwamba ni wenzao kiimani 😂😂😂 Naonaga Hata kwenye magari yao wanaweka bendera za Israel... Bendera iliyoitengeneza 1948

Jaman Israel sio wakristo na hawautambui ukristo.. na Yesu hawamtambui kabisa kama nabii.. afadhali kidogo mussa.. kidogo kwa mbaaaali (in selemani bungara's voice). Yesu walimkataa mpaka wakaomba afunguliwe yule Baraba ambaye alikuwa mfungwa aliyetafutwa mno kwa makosa ya ubakaji na mauaji... Ila ni kiasi gan kizazi hiki hakikumkubali Yesu wakaomba Baraba aachiwe Yesu asulubiwe

Yesu mwenyewe alishawaita kizazi Cha nyoka hawa watu..wameua manabii wengi tu Hata Yohana mbatizaji walimuua kwa hila..

Mimi ninachokiona kwa wakristo WA Tanzania Wana zile grudges za ndani kwa ndani na uislamu na waarabu kitu kinachowatia upofu kuona... Na wakiona wapalestina kule Gaza Wanauliwa.. wao wanafurahi walijua wanakufa waislamu.. bila kujua Kuna Jamii ya waarabu WA Palestina ni wakristo pia . Kama kule Lebanon...

Wazungu wenzetu wako mbali sana kifikra.. hizi huruma na mitego ya wayahudi kupitia ANTISEMITISM kwamba wao ndio wanaonewa duniani... Hawapendwi... Wazungu washashitukia hiyo janja muuda na wazungu hao hao ndio wakristo wengi.. ndio maana Mnaona mpaka wazungu wanaandamana kuupinga sera zao za kikatili huko Gaza... Mpaka Biden alikalia kuti kavu.. na mpaka kanyoosha mikono kugombea tena

Halafu hizo sifa mnazowapa Israel sijui kijeshi hatari sijui nini wale ni wakawaida tu Tena sana.. mifumo ya ulinzi hizo iron domes zote kafungiwa na US.. na USA ana manuari zake ziko hapo hapo Mediterranean kumpa back up...

Pia hao wapalestina anaowapiga kila siku wamedhibitiwa mno na marekani kwenye kuaccess silaha.. wanatumia silaha za kawaida sana.. mabomu yenyewe tu Wana ungaunga kienyeji.. na US kabana kupitia vibaraka hapo Jordan. Saudia kwamba Palestina wasipate silaha za maana.. kwa sababu wanajua na ni ukweli... Kama vile vikundi vya Palestina vinapata silaha za maana za vita Israel kama taifa litafutika hapo..

Itafika nyakati kwa wakristo WA Tanzania watafikia hatua waliyofikia wakristo WA marekani na ulaya Sasa hivi.. ya kuwajua wayahudi vizuri... Hata wazungu walisumbuliwa sana na wayahudi kabla hawajawajua.. ila Sasa hivi wanahaha maana washawajua.. illa huku bado..
Wakristo wengi wa huku kwetu ni majuha sana sasa niwape data
mgawanyo wa dini ni hivi Judaists 78%,waislam 18%,wakristo 1.8%,Druze 2.2,wengineo 4.6%
Katika jeshi la Israel IDF wale wapiganaji pia wapo waislam
Waisrael hawamtambui yesu na ndio maana walimsulubu wao imani yao iko kwenye tourati na wanaamini masia wao bado hajaja.
Sasa kuna majuha vile walishasikia kuna msemo eti waliambiwa nitambariki anayekupenda na nitamlaaani adui yao sasa yale majuha yanaweka bendera Israeli wakijua mungu atawashushia ugali.Nchini Israel na udogo wake kuna misikiti 400 kati ya hiyo 73 iko Jeresalem.
Angalia picha chini kuna mesium ya dini ya kislam iko Jerusalem na picha ya pili angalia mji wa Jerusalem ulivyopambwa kipindi cha Ramadhani
 

Attachments

  • Jerusalem mesium of islamic art.PNG
    Jerusalem mesium of islamic art.PNG
    501.2 KB · Views: 2
  • jerusalem ramadan.PNG
    jerusalem ramadan.PNG
    486.4 KB · Views: 2
Aliyekwambia Hitler alikuwa mkristo ni nani?? Watu hamjawajua wayahudi bado.. Wayahudi Wana agenda za Siri.... Kuna wayahudi hujifanya wakristo, waislamu na wanatekeleza agenda za kiyahudi kimya kimya na wamefanya hivyo miongo kwa miongo..

Akina Hitler ni wayahudi WA Siri siri ambao mission waliyobebeshwa ni kufanikisha vita ya Dunia inatokea Ili wazungu wengi wafe vitani wao WA rise kukamata ulaya na agenda ikafanikiwa .. Hitler ni myahudi na alipewa kazi kuleta choko choko vita itokee wazungu wauwane wengi ulaya... Ili wayahudi wapande maana wao kwenye vita hawakupigana

Na zile agenda za kuuwa wayahudi sijui kwenye gas Chambers mara concentration camps ni propaganda Ili acheze na akili za wazungu wamuone mwenzao kumbe ana lake... Na walifanikiwa wayahudi... Kama Kuna agenda ambayo walifanikiwa basi ni kwenye world wars.. Wazungu walikufa mno
 
Aliyekwambia Hitler alikuwa mkristo ni nani?? Watu hamjawajua wayahudi bado.. Wayahudi Wana agenda za Siri.... Kuna wayahudi hujifanya wakristo, waislamu na wanatekeleza agenda za kiyahudi kimya kimya na wamefanya hivyo miongo kwa miongo..

Akina Hitler ni wayahudi WA Siri siri ambao mission waliyobebeshwa ni kufanikisha vita ya Dunia inatokea Ili wazungu wengi wafe vitani wao WA rise kukamata ulaya na agenda ikafanikiwa .. Hitler ni myahudi na alipewa kazi kuleta choko choko vita itokee wazungu wauwane wengi ulaya... Ili wayahudi wapande maana wao kwenye vita hawakupigana

Na zile agenda za kuuwa wayahudi sijui kwenye gas Chambers mara concentration camps ni propaganda Ili acheze na akili za wazungu wamuone mwenzao kumbe ana lake... Na walifanikiwa wayahudi... Kama Kuna agenda ambayo walifanikiwa basi ni kwenye world wars.. Wazungu walikufa n
 
Sisi Wakristo sio wajinga kama unavyodhani,ni kweli tupo upande wa Israel hata kama wao wengi sio Wakristo,yote hayo sisi tunayatambua kwani bila wao kumkataq Yesu na wokovu sisi leo tusingepata neema hii ya wokovu ni kweli kwasasa hawamtambui Yesu kama mwokozi(masihi)wao ila haya yote yalishaongelewa kwenye biblia kwani siku sio nyingi watatubu na kupokea neema ya wokovu tena.
9 Hata itakuwa siku hiyo, ya kwamba nitatafuta kuwaangamiza mataifa yote watakaokuja kupigana na Yerusalemu.
Zekaria 12:9

10 Nami nitawamwagia watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, roho ya neema na kuomba; nao watamtazama yeye ambaye walimchoma; nao watamwombolezea, kama vile mtu amwombolezeavyo mwanawe wa pekee; nao wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza.
Zekaria 12:10
Katulie usome wayahudi watashituka kumwona Yesu waliemchoma watashangaa kuona walimsulubisha masiha wao nao wataombeleza na kutubu,wakati huo mataifa yatakuwa yamekusanyika Israel yatauliwa na masihi na mizoga yao kutapakaa.Israel ni saa ya dunia, Israel ni chanzo cha baraka yote duniani tutaendelea kujiungamaniusha nae mpaka mwisho wa dahari,uishi milele ee Israel wabarikiwe wakupendao na wanaokuchukia wawe adui za Mungu.
 
Back
Top Bottom