olimpio
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 418
- 866
Nimepitia report ya Mamlaka ya mawasiliano ya past three months(iliyotoka mwezi huu)
report Nimeona kitu cha ajabu sana , kila report hizi za TCRA zikitoka , mikoa miwili ya Rukwa na Morogoro inaongoza kwa utapeli mitandaoni , kuna maswali magumu sana najiuliza
1. Taasisi zinazopambana na uhalifu mitandaoni Polisi , TCRA na wengine wameshindwa?
2. Kwanini mikoa ya Rukwa na Morogoro kila report inaongoza? Polisi na mamlaka za serikali zimelala maeneo hayo?
3. Kuna watumishi wa serikali wanashirikina na matapeli ?
4. Kwanini hawakamatwi hao matapeli?
report Nimeona kitu cha ajabu sana , kila report hizi za TCRA zikitoka , mikoa miwili ya Rukwa na Morogoro inaongoza kwa utapeli mitandaoni , kuna maswali magumu sana najiuliza
1. Taasisi zinazopambana na uhalifu mitandaoni Polisi , TCRA na wengine wameshindwa?
2. Kwanini mikoa ya Rukwa na Morogoro kila report inaongoza? Polisi na mamlaka za serikali zimelala maeneo hayo?
3. Kuna watumishi wa serikali wanashirikina na matapeli ?
4. Kwanini hawakamatwi hao matapeli?