Kuna shindano lolote labda linaloendelea la wanawake wa mijini kufuga nywele sehemu za siri kwa fujo?

Kuna shindano lolote labda linaloendelea la wanawake wa mijini kufuga nywele sehemu za siri kwa fujo?

Hivi unafikiri ukiwa bize muda huo upo basi,,mtufanyie msaada muwe mnatunyoa[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Ndiyo maana wengine kutokana na ' Kutukera ' kwenu hivi huwa tunaamua kupitisha ' Mabomba ' yetu katika mashimo yenu ' prohibited ' na yaliyotukuka ili mkome!
 
Mkuu Gentamycine bado tu hujaoa? unachukua tu Wanawake kwa wingi hadi umekariri na mikoa wanayotoka.
 
Siku hizi kama ikitokea umetembea ( umefanya mapenzi ) na Wanawake kati ya Watano hadi Saba basi usishangae ambao wamenyoa ' mavuzi ' yao ni wawili au mmoja tu na ' sometimes ' hata hakuna aliyenyoa bali wote wapo katika zoezi zuri la Uoto wa Asili kwa kufuga mavuzi / unywele sehemu zao za Siri.

Hali hii ambayo pia imekuwa ' Kero ' Kwetu Sisi Wanaume kwani hayo ' mavuzi ' yao wanayopenda ' Kuyafuga ' huwa yanatuchana sana ' Mikuyenge ' yetu na kutusababisha tuingie gharama za bure za Kujitibu Mahospitalini.

Yawezekana labda Mimi sijui na ndiyo maana nimeona niulize humu Je kuna ' Shindano ' lolote linaendelea la Wanawake wa Mijini kufuga ' mavuzi ' kwa fujo? Hapa sijajua Wanawake wa Vijijini ila wa mjini sasa hivi wengi wao ukienda nao tu kufanya nao ' Mapenzi ' wanapovua tu Chupi zao lazima tu utakaribishwa na mfano hai wa Shamba Darasa Vuzi lililosheheni kabisa.

Na Wanawake wenye hii tabia ni wa Mikoa ifuatayo:

  1. Dar es Salaam
  2. Arusha
  3. Singida
  4. Morogoro
  5. Mwanza
  6. Mbeya
  7. Dodoma
Jamani Dada zetu hebu jitahidini basi muwe mnanyoa hizo Nywele ( Mavuzi ) kwani mnatuchana na kutusababishia mno maumivu na majeraha ambayo baadae hugeuka kuja kuwa ' makovu ' yetu ya milele sehemu zetu za Siri.

Nawasilisha.
Umeahau Wajaruo wa Mara, Mimi nilidhani ni mila yao.
 
Naona hii ni fursa, ngoja nianzishe saloon ya huko chini
 
IMG_20180315_232755_297.jpg
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom