MtumishiHuu upuuzi nilishaukataa kitambo sana. Mkuu wa shule hawezi kunibakisha shuleni hata siku moja wakati ni likizo ya wanafunzi waende wakapumzike wajiandae na muhula mpya wa masomo. Kufundisha sana kutaka sifa ni ujinga unachosha wanafunzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MtumishiHuu upuuzi nilishaukataa kitambo sana. Mkuu wa shule hawezi kunibakisha shuleni hata siku moja wakati ni likizo ya wanafunzi waende wakapumzike wajiandae na muhula mpya wa masomo. Kufundisha sana kutaka sifa ni ujinga unachosha wanafunzi
Dunia uwanja wa kazi sio kupumzika aiseeeEti unakuta darasa la tatu na la sita hawafungi, haohao wakiingia la nne na la saba mwakani hawatafunga likizo zote ni kufululiza kufundisha tu mpaka kunako mitihani ya taifa. Huu mtindo ni wa kipuuzi na haupo katika kanuni za ufundishaji
pumzika inapobidi lakini usikimbie kaziDunia uwanja wa kazi sio kupumzika aiseee
Eti jamani sa tutaishije bila wanafunzi wetu na wazazi wetu vipenzi 😹😹🤣🤣🤣 Sijui kwanini hawatupi kipaumbele?🤒
Kugharimia elimu ya msingi ni upumbavu, gharimia elimu ya ufundi.Elimu ni gharama weka pesa upate pesa weka muda upate mafanikio
Mwanao unaweza mchukua tu uondoke naye Kama yupo vizuri
Ila mtu Kama Mimi ambaye sipendi usumbufu akae uko atakuja kula xmass na mwaka mpya !!
Wazazi wasiache kutoa jero jero zinatuboost jamani 😹Wazazi wawe watulivu, hivyo vihela wala havitotutajirisha🤣🤣🤣
Si ndio, haya mambo sio magumu kama wanavyotaka yawe🤣🤣Wazazi wasiache kutoa jero jero zinatuboost jamani 😹
🤣🤣 Tushazoea hii hali,wasitukatili hivyoEti jamani sa tutaishije bila wanafunzi wetu na wazazi wetu vipenzi 😹😹
Kwani upo wapi kwanza Evelyn Salt ??😂😂
Hizo jero jero ndo kuwa na mgao toka shuleni mpaka wilayani? Umasikini utazidi kulikumba hili taifa kwa mawazo haya au kwa vitendo hvyo. Jero jero za kila siku ndo zininnyime mwl uhuru wa kuwa likizo??Walimu nao waneona wale kwa urefu wa kamba yao. Huu ujinga ulianza shule za biashara, watu wa serikali wakanogewa, na una back up ya watu wa wilayani kwa kuwa kuna 'mgao wao'.
Wale watetezi wa haki za watoto hutowasikia hapa - kwao kupumzika na kujifunza stadi za maisha si haki - kwao haki ni kutochapwa tu.
Watoto wanashindishwa shule kuliko wasomi wanavyoshinda maabara, na wakihitimu ili hali hawana stadi za mtaani wanaambiwa kwa kebehi 'jiajiri', ili hali muda wote alikuwa anakokotoa X.
Hizo shule wanasoma maskini kama wa Namtumbo - watoto wanaolelewa na wazee, watoto wa wauza maandazi, n.k ili hali wapo mitaa yenye ahueni kiuchumi.
Ndo natoka twisheni hapa.....ntakupigia nmechoka sana 😹Kwani upo wapi kwanza Evelyn Salt ??😂😂
Imagine mwezi mzima bila hela ya remedial hapana jamani hapana.....🤣🤣 Tushazoea hii hali,wasitukatili hivyo
🤣🤣🤣 Watavimba Leo...naona unawapa liveImagine mwezi mzima bila hela ya remedial hapana jamani hapana.....
Wazazi we love you, and your kids please, yani tunawapenda nyie na hao watoto wenu. 😹