DOKEZO Kuna siku pale Kivukoni yatatokea maafa, msikimbilie kuunda tume

DOKEZO Kuna siku pale Kivukoni yatatokea maafa, msikimbilie kuunda tume

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

themagnificient

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
1,033
Reaction score
3,720
Hii nchi kuna matukio ambayo huwa yanaonyesha kabisa dalili kuwa kuna harufu ya maafa lakini Serikali huwa ipo kimya, ila likishatokea hilo tukio utashangaa yanatengwa mamilioni ya posho kwa ajili ya tume ya uchunguzi yani huwa wapo chap kuunda tume kuliko kupambana na majanga.

Pale kigamboni mimi sio mwenyeji ila nilishawahi kusikia wenyeji wa pale wakipiga sana kelele Mitandaoni wakimshinikiza Rais achukue hatua kuboresha vile vivuko au kuleta vipya kabisa ila nimeona bado Serikali ipo kimya.

Sasa juzi nikavuka kuelekea upande wa kigamboni kwa mara ya kwanza nikashtukia tukio ambalo watu niliwahi kuskia wanalalamika, Kivuko kilipofika kule upande wa Kigamboni kikashindwa kusimama eneo la watu wanaposhuka, nikashangaa kimezungushwa alafu ule upande wa tulioingilia ndio ukafanikiwa kutia nanga, Magari yakatoka kwa Rivas na hilo nimeshuhudia mimi mgeni ila wenyeji wana Mengi wanasema la juzi ni Chamtoto.

Rais Samia Suluhu Hassan Tafadhali angalia pale kwa makini, msisubirie siku watu wamwagwe pale mje na Habari za kuunda tume vile Vivuko vimechoka na sasa naona vinasubiriwa vilete majanga ndio mchukue hatua.

Mkiona hamuwezi kuendesha mleteni muwekezaji awe wa nje au mzawa ashushe vyombo vya maana pale kwenye kila 200 serikali ikate kodi yake au kama hamtaki kumpa mwekezaji Nunueni vivuko vipya hata mkichaji 300 ila watu wawe salama.

Kama tumeweza kununua Ndege mpya hatushindwi kunumua vivuko vipya pale.
 
In fact madude ni mabovu ila ukisema utaletewa nongwa.
Lile moja lilishawahi kupeperukia kule kama unaenda chuo cha Mwl Nyerere, cant imagine ingekuwaje kama liengepeperukia upande ule outer to the ocean kule sijui tungelikuta Reunion au Madagascar…..
Hatari sana
 
Tatizo hakuna wa kuwasemea wananchi wa Kigamboni.
Mbunge yupo lkn hana anachowatetea wananchi wake.
 
In fact madude ni mabovu ila ukisema utaletewa nongwa.
Lile moja lilishawahi kupeperukia kule kama unaenda chuo cha Mwl Nyerere, cant imagine ingekuwaje kama liengepeperukia upande ule outer to the ocean kule sijui tungelikuta Reunion au Madagascar…..
Ngoja litokee tukio wakina majariwa wa mchongo wameshajiweka sawa kipande hiko, soon kinanuka
 
Hii nchi kuna matukio ambayo huwa yanaonyesha kabisa Dalili kuwa kuna harufu ya maafa lakini Serikali huwa ipo kimya ila likishatokea hilo tukio utashangaa yanatengwa mamilioni ya posho kwa ajili ya Tume ya uchunguzi yani huwa wapo chap kuunda tume kuliko kupambana na majanga

Pale kigamboni mimi sio mwenyeji ila nilishawahi kusikia wenyeji wa pale wakipiga sana kelele Mitandaoni wakimshinikiza Raisi achukue hatua kuboresha vile vivuko or kuleta vipya kabisa ila nimeona Bado Serikali ipo kimya

Sasa juzi nikavuka kuelekea upande wa kigamboni kwa mara ya kwanza nikashtukia tukio ambalo watu niliwahi kuskia wanalalamika, Kivuko lilopofika kule upande wa Kigamboni kikashindwa kusimama eneo la watu wanaposhuka , nikashangaa kimezungushwa alafu ule upande wa Tulioingilia ndio ukafanikiwa kutia nanga Magari yakatoka kwa Rivas na hilo nimeshuhudia mimi mgeni ila wenyeji wana Mengi wanasema la juzi ni Chamtoto

Raisi Samia Suluhu Hassan Tafadhali angalia pale kwa makini, msisubirie siku watu wamwagwe pale mje na Habari za kuunda tume vile Vivuko vimechoka na sasa naona vinasubiriwa vilete majanga ndio mchukue hatua

Mkiona hamuwezi kuendesha mleteni muwekezaji awe wa nnje au mzawa ashushe vyombo vya maana pale kwenye kila 200 serikali ikate kodi yake au kama hamtaki kumpa mwekezaji , Nunueni vivuko vipya hata mkichaji 300 ila watu wawe salama, kama tumeweza kununua Ndege mpya hatushindwi kunumua vivuko vipya pale.
Hao unaowapa ushauri sidhani kama wanathamini usalama na uhai wa raia. Kwanini kuwe na ferry boat za serikali pekee?
Waruhusu kampuni nyingine kufanya biashara hiyo.
 
Hao unaowapa ushauri sidhani kama wanathamini usalama na uhai wa raia. Kwanini kuwe na ferry boat za serikali pekee?
Waruhusu kampuni nyingine kufanya biashara hiyo.

Kuna boat Taxi za Bakhresa zinasaidia wakati wa asubuhi na jioni
 
Kuna boat Taxi za Bakhresa zinasaidia wakati wa asubuhi na jioni
Zike boti ni hatari zaidi kuliko unafikiri. Pale upande wa kigamboni kuna mkondo wa maji una nguvu sana hasa wakati wa kupwa na kijaa maji. Kanageuka juu chini kale.
 
Zike boti ni hatari zaidi kuliko unafikiri. Pale upande wa kigamboni kuna mkondo wa maji una nguvu sana hasa wakati wa kupwa na kijaa maji. Kanageuka juu chini kale.
Sana Mkuu, na Walivyoongeza Kina, Mkondo umekuwa na Nguvu Zaidi. Mungu aepushilie Mbali. M.V. Kazi naona itaanza Soon!
 
Hii nchi kuna matukio ambayo huwa yanaonyesha kabisa dalili kuwa kuna harufu ya maafa lakini Serikali huwa ipo kimya, ila likishatokea hilo tukio utashangaa yanatengwa mamilioni ya posho kwa ajili ya tume ya uchunguzi yani huwa wapo chap kuunda tume kuliko kupambana na majanga.

Pale kigamboni mimi sio mwenyeji ila nilishawahi kusikia wenyeji wa pale wakipiga sana kelele Mitandaoni wakimshinikiza Rais achukue hatua kuboresha vile vivuko au kuleta vipya kabisa ila nimeona bado Serikali ipo kimya.

Sasa juzi nikavuka kuelekea upande wa kigamboni kwa mara ya kwanza nikashtukia tukio ambalo watu niliwahi kuskia wanalalamika, Kivuko kilipofika kule upande wa Kigamboni kikashindwa kusimama eneo la watu wanaposhuka, nikashangaa kimezungushwa alafu ule upande wa tulioingilia ndio ukafanikiwa kutia nanga, Magari yakatoka kwa Rivas na hilo nimeshuhudia mimi mgeni ila wenyeji wana Mengi wanasema la juzi ni Chamtoto.

Rais Samia Suluhu Hassan Tafadhali angalia pale kwa makini, msisubirie siku watu wamwagwe pale mje na Habari za kuunda tume vile Vivuko vimechoka na sasa naona vinasubiriwa vilete majanga ndio mchukue hatua.

Mkiona hamuwezi kuendesha mleteni muwekezaji awe wa nje au mzawa ashushe vyombo vya maana pale kwenye kila 200 serikali ikate kodi yake au kama hamtaki kumpa mwekezaji Nunueni vivuko vipya hata mkichaji 300 ila watu wawe salama.

Kama tumeweza kununua Ndege mpya hatushindwi kunumua vivuko vipya pale.
Kabla ya kwenda kwa Rais Temesa na Wizara ya Ujenzi si wapo kwani hawayaoni haya? Hadi Rais au PM aagize?
 
Kama tumeweza kununua Ndege mpya hatushindwi kunumua vivuko vipya pale.
Kuna mwaka ilifanyika auditing pale...by then population ya Kigamboni ilikuwa sio kama sasa auditors walifanya sampling ya mapato pale per day ni kama 22Mil......

Ilibainika pia kuwa upigaji kwenye fuel, lubricants na spare parts ni ule wa viwango vya Pro Max!!

Kwa kifupi pale wanaweza fanya kila aina ya maboresho but hakuna mwenye time hiyo....piga twende ndo mtindo wa life!!
 
Back
Top Bottom