bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
hii chai imezidi chumvi tenaZike boti ni hatari zaidi kuliko unafikiri. Pale upande wa kigamboni kuna mkondo wa maji una nguvu sana hasa wakati wa kupwa na kijaa maji. Kanageuka juu chini kale.
Jamaa anatufanya wote watoto humuhii chai imezidi chumvi tena
Tugs zingeizuia lisiende hukoIn fact madude ni mabovu ila ukisema utaletewa nongwa.
Lile moja lilishawahi kupeperukia kule kama unaenda chuo cha Mwl Nyerere, cant imagine ingekuwaje kama liengepeperukia upande ule outer to the ocean kule sijui tungelikuta Reunion au Madagascar
tumpe bakhresa jaman sisi kama hatuwezi atuletee vyuma vya kisasa...
Palle kama huyajui maji tulia tuli kama maj ya mtung.kina cha pale mzee sio cha masikhara.divers tunajua napaheshim sana pale.Anatafutwa Majaliwa wa tatu, tayari tunao wawili
Panda vya bakhresa, au vimeacha kupiga mzigo?kivuko kushindwa kutia nanga kisha kikazungushwa hadi upande wa pili sio tukio la kawaida
In fact madude ni mabovu ila ukisema utaletewa nongwa.
Lile moja lilishawahi kupeperukia kule kama unaenda chuo cha Mwl Nyerere, cant imagine ingekuwaje kama liengepeperukia upande ule outer to the ocean kule sijui tungelikuta Reunion au Madagascar