Kuna siku utasikia I did everything but she/he died anyway!

Kuna siku utasikia I did everything but she/he died anyway!

Mkuu mbona kawaida nawenyewe wana maisha yao nje ya kazi zao.
Ni kwel. 😂😂😂.
Sema ni vile kuna ethics za ki kada ambazo kiukwel ukishanganya na maisha yako binafsi (kitu ambacho hakiathiri utendaji) unajikita watu wanavurugwa.
Ujue jamii inaheshimu sana madaktari na kuwachukulia kama watu wanaopaswa kuwa serious all the time, and they are right..

Ni kama vile ambavyo zaman tumekua na fikra hiz kwamba mchungaji huwez kudhan naye huwa anakula mbususu na kutumia syle mbali mbali na yoote hii ni kutokana na eneo la specialization yao inavyo wa potray.

Sasa akina gigy money warekod music clips wakicheza na madaktari nao wafanye hivyo aaaahhhhh!!!!!😂😂😂😂
 
Unakuza mambo.

Kwenye mashindano ya Olimpic kulikuwa na madaktari ila wapo kwenye timu za taifa za michezo isiyohusiana na udaktari wao.

Kuna mpaka ma Daktari wanaofanya kazi hospitali na bado wanacheza soka ama michezo mengine kwenye timu za taifa lao kabisa. Na world cup wanaenda na timu zao

Screenshot_20240823-234723_Firefox.jpg
 
Hawa vijana wataweza , Kuanticipate outcomes za wagonjwa na kuto improvise accordingly .
View attachment 3077165
Watanzania wengi mnaamini kwamba kuwa serious sana ndiko kunakufanya uwe na akili na kujua sana vitu. Dunia inabadilika siku hizi watu wako serious ila wana react casual tu. Ni mitandao tu mkuu usiwachukulie serious sana.
 
Ni kwel. 😂😂😂.
Sema ni vile kuna ethics za ki kada ambazo kiukwel ukishanganya na maisha yako binafsi (kitu ambacho hakiathiri utendaji) unajikita watu wanavurugwa.
Ujue jamii inaheshimu sana madaktari na kuwachukulia kama watu wanaopaswa kuwa serious all the time, and they are right..

Ni kama vile ambavyo zaman tumekua na fikra hiz kwamba mchungaji huwez kudhan naye huwa anakula mbususu na kutumia syle mbali mbali na yoote hii ni kutokana na eneo la specialization yao inavyo wa potray.

Sasa akina gigy money warekod music clips wakicheza na madaktari nao wafanye hivyo aaaahhhhh!!!!!😂😂😂😂
Thread iishie hapa
 
Ni

Sasa akina gigy money warekod music clips wakicheza na madaktari nao wafanye hivyo aaaahhhhh!!!!!😂😂😂😂
Duniani tunapita tu, ukipata nafasi ya kufurahi furahi, tasnia isikufanye ukauugua magonjwa ya akili, ili mladi usitende Dhambi kwa Mungu wako, wakati wa kucheza cheza saaaaana ,wakati wa kutibu akija mgonjwa mtibu kwa Upendo mpaka amshangae Mungu ni kwa Nini amekuleta kwenye matatizo yake, hayo mengine ni kuwekana kwenye gereza lisilo na vyuma
 
Unakuza mambo.

Kwenye mashindano ya Olimpic kulikuwa na madaktari ila wapo kwenye timu za taifa za michezo isiyohusiana na udaktari wao.

Kuna mpaka ma Daktari wanaofanya kazi hospitali na bado wanacheza soka ama michezo mengine kwenye timu za taifa lao kabisa. Na world cup wanaenda na timu zao
Kwenye timu ya taifa ya Tanzania au unamanisha nchi zingine hearsay tu,........nitajie dakitari moja katika ligi kuu ya England anae cheza mpira mkuu, kuna kozi zingine hubakizi mda wa mazoezi ya kutosha
 
Kwamba unamaanisha mgonjwa ukikaa kizembe sindano unaweza chomwa kuendana na mdundo wa beat sio 😁😁😁
 
Duniani tunapita tu, ukipata nafasi ya kufurahi furahi, tasnia isikufanye ukauugua magonjwa ya akili, ili mladi usitende Dhambi kwa Mungu wako, wakati wa kucheza cheza saaaaana ,wakati wa kutibu akija mgonjwa mtibu kwa Upendo mpaka amshangae Mungu ni kwa Nini amekuleta kwenye matatizo yake, hayo mengine ni kuwekana kwenye gereza lisilo na vyuma
SAwa.. wangezingatia ushauri wako hapo nilipo bold, naamini wasinge record hii kitu. Maana under spiritual morals/ethics/conducts, this is already not right.
anyway, haya tuyaache
 
SAwa.. wangezingatia ushauri wako hapo nilipo bold, naamini wasinge record hii kitu. Maana under spiritual morals/ethics/conducts, this is already not right.
anyway, haya tuyaache
Whats wrong with this wakati hiyo ni thearapy ya kutibu stress za vitabu na boredom ili ubongo urudi upya, hujawahi kuona disco ya mapadiri wakicheza na watawa, tena ile dance ya mpaka chini.
 
Whats wrong with this wakati hiyo ni thearapy ya kutibu stress za vitabu na boredom ili ubongo urudi upya, hujawahi kuona disco ya mapadiri wakicheza na watawa, tena ile dance ya mpaka chini.
Inategemeana na where you are standing from to define "what is wrong or right". Ndio maana jamaa yeue perspective yake kama "kumkosea Mungu".
Sasa haijalishi watu 1000 wanafanya isivyo sahihi na mmoja tu akafanya ilivyo sawa, hawa elfu hawa halalishi wrong kuwa right. Mapadri ni mapadri tu, wakicheza mziki wa bongoflavour, hii sio sawa, kwann hawapigi hizo bongo fleva kwenye ibada zao??? Waweke kwaya kama ishu ni saikoloji..nao ni muziki pia
 
Tatizo lipo wapi hapo, ukiona unawaza kazi muda wote upo serious ndo chanzo cha matatizo ya akili.

Kucheza mziki ni moja ya therapy nzuri kuondoa stress na kurefresh akili.
Niliwahi kuishi na daktari specialist mzuri sanaa nikawa nashangaa ila baadaye nilimuelewa yaani akiwa anajiandaa asubuhi au jioni kama anazamu ya usiku basi utakuta kaweka mziki sauti kubwa japo yeye ilikuwa ni Gospel na anajiandaa huku anacheza and she saved alot of life ya wagonjwa.
 
Back
Top Bottom