makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 Aug 23, 2024 #21 Sasa mkuu, wasiburudike, ajabu nin hapo?
M MELEKAHE JF-Expert Member Joined Nov 19, 2023 Posts 1,340 Reaction score 5,588 Aug 23, 2024 #22 Covax said: Kwenye timu ya taifa ya Tanzania au unamanisha nchi zingine hearsay tu,........nitajie dakitari moja katika ligi kuu ya England anae cheza mpira mkuu, kuna kozi zingine hubakizi mda wa mazoezi ya kutosha Click to expand... Mbona unachangua jibu litoke kwenye ligi kuu ya england tu ? Huku mimi nimeongelea timu za taifa ? Na olimpic
Covax said: Kwenye timu ya taifa ya Tanzania au unamanisha nchi zingine hearsay tu,........nitajie dakitari moja katika ligi kuu ya England anae cheza mpira mkuu, kuna kozi zingine hubakizi mda wa mazoezi ya kutosha Click to expand... Mbona unachangua jibu litoke kwenye ligi kuu ya england tu ? Huku mimi nimeongelea timu za taifa ? Na olimpic
M MELEKAHE JF-Expert Member Joined Nov 19, 2023 Posts 1,340 Reaction score 5,588 Aug 23, 2024 #23 MELEKAHE said: Mbona unachangua jibu litoke kwenye ligi kuu ya england tu ? Huku mimi nimeongelea timu za taifa ? Na olimpic Hiyo screenshot kutoka kwenye official website ya FIFA Click to expand...
MELEKAHE said: Mbona unachangua jibu litoke kwenye ligi kuu ya england tu ? Huku mimi nimeongelea timu za taifa ? Na olimpic Hiyo screenshot kutoka kwenye official website ya FIFA Click to expand...