Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziko poa tu mkuu,Kuna simu zinaitwa AQUOS mnaotumia humu zipoje?Ubora jee?
Maana nazo zinakuja kwa kasi nchini!!
Mnaozifahamu tafadhali mtujuze
Hizo ni simu za mazayuni. Sisi Mujahidina hatutakiwi kuzinunua.Kuna simu zinaitwa AQUOS mnaotumia humu zipoje?Ubora jee?
Maana nazo zinakuja kwa kasi nchini!!
Mnaozifahamu tafadhali mtujuze
Nimejaribu kuangalia mbili za mwaka huu gsmarena naona ni nzuri tu.Kuna simu zinaitwa AQUOS mnaotumia humu zipoje?Ubora jee?
Maana nazo zinakuja kwa kasi nchini!!
Mnaozifahamu tafadhali mtujuze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa anayo sms mwisho 50 words kazunguka kona zote sms haizidi apo ina bidi aunganishe sms akitaka kuandika shairi
Fundi wa kuzitoa password wapo ila ni gharama kati ya 70k_- 150k. Kuhusu spea uko sahihi huku zinakuja za mtumba haziji mpya. Siyo aquos tu simu nyingi za Japan kutoa password ni mtihani.Ni nzuri ukinunua kubwa zenye uwezo mkubwa, zipo mpaka za 5g lakini shida hazina spear na usije kusahau password utajuta kununua hiyo simu, maana hutoweza kuitumia Tena maana hakuna fundi anaeweza kuzitoa password hapa Tanzania
Mchina anatokae aina tofauti ya bidhaa mzee pamoja na muundoMchina akishika soko hataki kulipoteza mtapigwa matoleo mtachoka wenyewe mfano mzuri kwenye simu na malori check Sinotruck anavyofyatua matoleo mapya kila siku ya Howo
Wabongo kwa kukaririsha kila kitu Mchina, AQUOS ni simu zinazotengenezwa Japan na ni kwa ajiliya Japan pekee huku bongo nyingi zinakuja mtumba na refurbished.Mchina akishika soko hataki kulipoteza mtapigwa matoleo mtachoka wenyewe mfano mzuri kwenye simu na malori check Sinotruck anavyofyatua matoleo mapya kila siku ya Howo
kahawa ya kuchangamsha gengeKuna jamaa anayo sms mwisho 50 words kazunguka kona zote sms haizidi apo ina bidi aunganishe sms akitaka kuandika shairi
Sony gani ulitumia?Wabongo kwa kukaririsha kila kitu Mchina, AQUOS ni simu zinazotengenezwa Japan na ni kwa ajiliya Japan pekee huku bongo nyingi zinakuja mtumba na refurbished.
Nimetumia simu za Japan docomo ikiwemo LG, Sony kiufupi ni simu kali ngumu na nzuri zinadumu haswa, mapungufu tu ni pale unapotaka software update zinataka utumie network yao docomo.
Ukija kwenye AQUOS sasa kuna RT series bei ya RT7 ni kama iPhone macho matatu
Kwenye marketing mchina kalogwaMchina anatokae aina tofauti ya bidhaa mzee pamoja na muundo